Kama lengo lilikua kukusanya 200bn toka kwa wajasiriamali 10m, halafu unajikuta hata hela ya kutengenezea vitamvulisho haijarudi ungekua wewe ungefanyaje,Tatizo siyo kulipa kodi,
Tatizo ni njia mnazotumia kukusanya hiyo kodi ndiyo watu tunalalamikia kwani mgesema kuwa hivyo vitambulisho ni njia ya kuongezea mapato nani angewapinga?
Inakuwaje mnasema ni kuwasidia wanyonge wakati mnawalazimisha tena wakati mwingine kwa mitutu ya bunduki?Huko ndiyo kumsaidia mnyonge?
Kama lengo lilikua kukusanya 200bn toka kwa wajasiriamali 10m, halafu unajikuta hata hela ya kutengenezea vitamvulisho haijarudi ungekua wewe ungefanyaje,
Hizi kauli za upuuzi kabisa..kwani nani kaleta hii kodi ya headHao wengine wanasikitika - Rais kuna watendaji watamharibia kura za 2020
Mbinu zaa kukusanya kodi ziko nyingi, mojawapo ni kama ile ya kugonga ngombe mihuri, jiulize lile zoezi liliishia wapi, tatizo la nchi yetu haijabuni vyanzo mbadala wa kodi na haya ndio matokeo yake, wazungu huziita "fast money" ikiisha ya vitambisho tutegemee jipyaKwani nani alipeleka maombi ya kuuziwa hivyo vitambulisho?
Kuna wakati tumeambiwa kuwa kuna kundi la watu fulani linaomba kutengenezewa vitambulisho na viuzwe kwao?
Mbinu zaa kukusanya kodi ziko nyingi, mojawapo ni kama ile ya kugonga ngombe mihuri, jiulize lile zoezi liliishia wapi, tatizo la nchi yetu haijabuni vyanzo mbadala wa kodi na haya ndio matokeo yake, wazungu huziita "fast money" ikiisha ya vitambisho tutegemee jipya
Watawalipa nini wajeda wanaowaandamisha barabarani ili wazilinde roho zao zilizosheheni hofu!!!Hivi mkuu wa wilaya hana kazi mpaka akauze vitambulisho ambavyo havikidhi kikatiba?
Ahahhahahahahahahha. Nilkua sitaki ku-comment bt umenfanya njitose ulingoni.Anavyokagua utafikiri mtu mwenye akili
rais akiwa kwenye sherehe za siku ya mahakama alishawah kutaka kesi za wahujumu uchumi ziharakishwe na wapigwe fain ili pato liongezeke. ametumia bl 3 kuanzisha mahakama ya mafisadi mpaka sasa ni pango la popo?Mbona watu mbalimbali walishinda kesi ingekuwa hivyo:-
= Kasuku Bilago angeshinda kesi ya pingamizi la ushindi wa ubunge Buyungu dhidi ya Chiza mwaka 2015?
= Kesi nyingi Lissu kashinda, ingekuwa hivyo angeshinda?
= Wangwe ameshinda kesi ya kutaka wakurugenzi kutokuwa returning wa uchaguzi
Serikali inatambua na kuheshimu mahakama kama muhimili unaojitegemea!
haya majitu yanaroho mbayaHapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Aliyekurupuka mimi au wewe uliyesema TRA haihusiki na leseni inayohusika eti ni halmashauriAcha kukurupuka wewe, unapita TRA kwanza unakadiriwa kodi unayo takiwa kulipa ndio unaenda Halmashauri kulipia leseni yako.
Aliyekurupuka mimi au wewe uliyesema TRA haihusiki na leseni inayohusika eti ni halmashauri