Huyo ni zaidi ya kauzu maana hajuu anacho kiongea
Mahakama za Nchi gani?Mbona watu mbalimbali walishinda kesi ingekuwa hivyo:-
= Kasuku Bilago angeshinda kesi ya pingamizi la ushindi wa ubunge Buyungu dhidi ya Chiza mwaka 2015?
= Kesi nyingi Lissu kashinda, ingekuwa hivyo angeshinda?
= Wangwe ameshinda kesi ya kutaka wakurugenzi kutokuwa returning wa uchaguzi
Serikali inatambua na kuheshimu mahakama kama muhimili unaojitegemea!
Inaumiza sana aiseNaona anajiuliza hivi nikwanini niliichagua ccm?
Waweza kukuta ....wote hao waliofikia umri wa miaka 18s waliipigia kura ccm
Yaani kaishiwa nguvu kabisa ... utadhani amepewa taarifa kuwa ana cancerNaona anajiuliza hivi nikwanini niliichagua ccm?
Baba yako yeye lini??Hiyo haiepukiki Magu ni mpaka 2025, akitoka huyo anaingia Makonda mpaka 2030. Nyinyi nendeni ICC
Baba yako yeye lini??
Nafahamu chief .Mkuu hujui kuwa ccm ni ugonjwa mbaya kuliko kansa?