Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Mbona inaonyesha amekwisha kivaa,inamana tiari ni mmiliki wa kitambulisho wala halazimishwi kununua,labda DC anahakikisha nichenyewe au copy?
 
Hatuna haja ya kuongozwa na mfoji vyeti wa koromitje
Mbowe ni form six failure na anawaongoza na ndiye mentor wenu, wakina Sugu, Prof J wale wote darasa halimo ila ndio wamewashika akili.
 
Sio kila kitu kinafanywa na TRA, mfano unahisi kwanini leseni za biashara zinatolewa na Ofisi ya biashara ya halmashauri husika? Tatizo lenu mnajikuta kila kitu mnafahamu wakati hamjui lolote zaidi ya matusi kama ya afisa mdude
Ina maana tra wameahindwa kazi yao?
 
Haijalishi ila hicho kitambulisho kinauzwa sh 20000 kwa mlala hoi
Mbona inaonyesha amekwisha kivaa,inamana tiari ni mmiliki wa kitambulisho wala halazimishwi kununua,labda DC anahakikisha nichenyewe au copy?
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Halaf limkuu la wilaya lenyewe limevaa chain shingoni kama manzi hivi, labda limevaa na vikuku miguuni
 
Ndiyo viongozi wetu hao mkuu wa awamu hii ingekuwa enzi za kambarage wasingepewa hata kuongoza nyumba kumi
Halaf limkuu la wilaya lenyewe limevaa chain shingoni kama manzi hivi, labda limevaa na vikuku miguuni
 
Acha Tu Wakione Cha Mtema Kuni Maana Hao Ndio Wakwanza Kupiga Vigelegele Wakipewa Khanga Na Madela. Nadhani Kwahiki Kinacho Wakuta Yaweza Kuwa Fundisho Huko Mbeleni.
Hatuwezi kuwalaumu,hawalaumiki wanapounga mkono hoja sababu ya kunyimwa Elimu bora ni kupata urahisi wa kuwatawala Sera ya misisiemu ya kutoa elimu dhaifu ina makusudio yake nayo ni haya yakutawala milele
TUWAMPE ELIMU YA URAIA TUTAONA MABADILIKO YA KWELI
 
Sio kila kitu kinafanywa na TRA, mfano unahisi kwanini leseni za biashara zinatolewa na Ofisi ya biashara ya halmashauri husika? Tatizo lenu mnajikuta kila kitu mnafahamu wakati hamjui lolote zaidi ya matusi kama ya afisa mdude
Aliyekudanganya kuwa unaweza kupata leseni ya biashara halmashauri bila kupitia TRA nani
 
Daahh masikini namuona m-dada hapo amevaa blauzi ya kijani na kitenge chekundu ameshika tama ... Ameishiwa nguvu kabisa
 
Acha kukurupuka wewe, unapita TRA kwanza unakadiriwa kodi unayo takiwa kulipa ndio unaenda Halmashauri kulipia leseni yako.
Aliyekudanganya kuwa unaweza kupata leseni ya biashara halmashauri bila kupitia TRA nani
 
Kweli kabisa hii elimu bure inabidi tuwe makini nayo
Hatuwezi kuwalaumu,hawalaumiki wanapounga mkono hoja sababu ya kunyimwa Elimu bora ni kupata urahisi wa kuwatawala Sera ya misisiemu ya kutoa elimu dhaifu ina makusudio yake nayo ni haya yakutawala milele
TUWAMPE ELIMU YA URAIA TUTAONA MABADILIKO YA KWELI
 
Back
Top Bottom