Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Sawa mkuu
Poa mkuu
Poa mkuu
Kodi lazima walipe maana wanapata faida, hilo lipo waziHapo ni fully vitisho jaribu kuangalia hao kina mama wanao tazama walivyo ingiwa na uoga
Magu mpaka 2025, watetezi wa majizi hawana nafasi.Tena sana na hatoamini atakacho kishuhudia baada ya upigaji kura
Kumbe hiyo ni kodi?mi nilidhania ni vitambulisho vya kuwakomboa wanyonge
Mahakama yawapiga stop wakurugenzi kusimamia uchaguzi![]()
Mliwahi kumuita lowasa kuwa ni mwizi lkn sasa mnamuona kama lulu mmemkumbatia
Kabisa Lodilofa hawezi kwepa lawama kwa madhila hayaHatutamsahau pamoja na kile kibabu cha upara
Unataka pesa za kuendesha nchi zitoke wapi boss? Rudi darasani kasome kitu kinaitwa National Income utaelewa nini serikali inafanya.Basi wakeni wazi kuwa mnakusanya mapato kwa njia hiyo isiyo rasmi badala ya kuwadanganya wanyonge kuwa mnawasidia
Labda makonda akuongoze wewe maana hakuna mtanzania atakubali kuongozwa na mtu asiye na elimu hata ya kidato cha 4