Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Mtu ana mtaji wa elfu tatu unamuambia achukue kitambulisho kwa elfu ishirini si unyonyaji wa wazi huu
 
Ni aibu Kwa kiongozi gharama ya kutengeneza kitambulisho hailingani Na bei ya kuuzia.Kama k cha taifa ,cha kura kinaumathubuti zaidi kuliko hicho Na vinatolewa bure,si wavigawe bure
 
Ipi bora kulipia elfu ishirini kwa mwaka au ukimbizwe na migambo na mchicha unyang'anywe? Nataka majibu haraka.
 
Back
Top Bottom