Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Yes, anafaa (yu wa pande mbili dhaifu na mweledi) kama binadamu yeyote - kinachopaswa ni matumizi ya hekima tu
hekiima hawezi kuwa nazo jerry! unaikumbuka ile case yake ya bastola/rushwa? kwa wenzetu yule asingepata hata uwenyekiti wa kitongoji! sawa na kangi na murad sadick at leo kangi wazir nae hapendi rushwa! utani na upuuzi huu mpaka lini?
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921

Kuna vitu vinatia aibu sana.Hii ni kodi ya kichwa na si kitambulisho. Mkuu wa wilaya kukimbizana na kinamama kwa sababu ya elfu 20,000/=.
Angekuwa na huruma,basi angewalipia hao kinamama.

NB:
Walishangilia sana waliporuhusiwa wafanye biashara popote wapaonapo panawafaha,na waliona kuwa Rais ni mtetezi wao. Leo hayo ndo matokeo.
 
hekiima hawezi kuwa nazo jerry! unaikumbuka ile case yake ya bastola/rushwa? kwa wenzetu yule asingepata hata uwenyekiti wa kitongoji! sawa na kangi na murad sadick at leo kangi wazir nae hapendi rushwa! utani na upuuzi huu mpaka lini?

Sawa, mahakama ziliwakuta na hatia?
 
Usemayo ni yakweli kwa 100% maana kama ni ukombozi kwa wanyonge basi wawapatie bure hivyo vitambulisho
Kuna vitu vinatia aibu sana.Hii ni kodi ya kichwa na si kitambulisho. Mkuu wa wilaya kukimbizana na kinamama kwa sababu ya elfu 20,000/=.
Angekuwa na huruma,basi angewalipia hao kinamama.

NB:
Walishangilia sana waliporuhusiwa wafanye biashara popote wapaonapo panawafaha,na waliona kuwa Rais ni mtetezi wao. Leo hayo ndo matokeo.
 
Hivi Jerry Muro anatoka machame? Kwann asitumie muda kidogo japo dakika tano kukaa na Askofu shoo ajaribu kuvuna japo busara na elimu ya utu kidogo
Hawa vijana hawana huo uamuzi wa kiungwana
 
Yaani mchicha hata elfu 3 haufiki ila wanataka 20,000/=

Biashara yenyewe anaifanya mara moja kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom