Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Sio kweli mleta mada muongo. Huyu mkuu anaangalia hicho kitambulisho ambacho kimevaliwa na huyu mama muuza mchicha. Huyu mama tayari ameshalipa hizo 20,000!!
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
wananchi wa Arumeru wanateswa na askari na migambo sana sana, wanafukuzwa masokoni kwa kukosa vitambulisho, wengi wameacha kwenda sokoni
 
Dawa yao ni kuikataa kabisa ccm
wananchi wa Arumeru wanateswa na askari na migambo sana sana, wanafukuzwa masokoni kwa kukosa vitambulisho, wengi wameacha kwenda sokoni
 
Anawalizimisha watu wanunue hivyo vitambulisho wacha kukuta ufahamu wewe lumumba
Sio kweli mleta mada muongo. Huyu mkuu anaangalia hicho kitambulisho ambacho kimevaliwa na huyu mama muuza mchicha. Huyu mama tayari ameshalipa hizo 20,000!!
 
hizo mahakama zinazoelekezwa cha kufanya na mtukufu mkuu wa wawakuu aliyekuja kufanya maajabu japo naye alikuwepo serikalini kwa miaka yote sasa anajifanya analeta maajabu?

Mbona watu mbalimbali walishinda kesi ingekuwa hivyo:-
= Kasuku Bilago angeshinda kesi ya pingamizi la ushindi wa ubunge Buyungu dhidi ya Chiza mwaka 2015?
= Kesi nyingi Lissu kashinda, ingekuwa hivyo angeshinda?
= Wangwe ameshinda kesi ya kutaka wakurugenzi kutokuwa returning wa uchaguzi

Serikali inatambua na kuheshimu mahakama kama muhimili unaojitegemea!
 
Eti serikali yangu!!!!
hizo mahakama zinazoelekezwa cha kufanya na mtukufu mkuu wa wawakuu aliyekuja kufanya maajabu japo naye alikuwepo serikalini kwa miaka yote sasa anajifanya analeta maajabu?
 
Back
Top Bottom