Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Eti mtu anakuambia kuna pembe tatu ambayo hapo hapo ni duara?
Kwani hazipo pembe tatu duara au ni kujitoa ufahamu tuu wakuu.
Ipo pembe tatu duara.
Kama ambavyo naamini yupo mtu ambae ni mfupi kisha hapo hapo akawa mrefu.
Mfano wema sepetu ni mrefu kisha hapo hapo ni mfupi.
Kwa maana WEMA sepetu akisimama na steve nyerere atakuwa ni mrefu,wakati huo akisimama na hasheem thabiti atakuwa ni mfupi kwa mwili wake huo huo.
Pembe tatu inaweza kuonekana kama inavoonekana katika picha hapo chini.
Kwani hazipo pembe tatu duara au ni kujitoa ufahamu tuu wakuu.
Ipo pembe tatu duara.
Kama ambavyo naamini yupo mtu ambae ni mfupi kisha hapo hapo akawa mrefu.
Mfano wema sepetu ni mrefu kisha hapo hapo ni mfupi.
Kwa maana WEMA sepetu akisimama na steve nyerere atakuwa ni mrefu,wakati huo akisimama na hasheem thabiti atakuwa ni mfupi kwa mwili wake huo huo.
Pembe tatu inaweza kuonekana kama inavoonekana katika picha hapo chini.