Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
- Thread starter
- #41
Zipi na nizingatie wapi?Kuwa serious na zingatia kanuni za hesabu,?
Mana hata darasani enzi hizo nikiulizwa kwenye histori kuhusu binadamu asili yake nasema sokwe kwa kuzingatia kanuni za somo husika na pahala husika.
Nikitoka nje ya hapo nawachana na hayo makanuni.
Mada yangu na hesabu tofauti.labda tu iwe katika hesabu kuna mfano wa mada yangu.