Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
- Thread starter
- #21
Sasa huku ni kutumia akili zilizofungwa mkuu.Kuwa serious mzee kwani hapo si kuna geometrical figures mbili hata kama ukiambiwa kutafuta eneo lenye kivuli au lote itakupasa kutumia kanuni za triangle halafu na la circle.
Mimi sikuja kutaka kutafuta eneo lililotiwa kivuli.
Utatafutaje kitu unakiona kimetiwa kivuli.
Hesabu zilizonisaidia katika maisha yangu ni
Jumlisha
Toa
Zidisha
Gawanya.
Hayo mengine ni chemsha bongo tu ambazo watu wakazifanya hakuna kinyume na hizo.