Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Kwa population ya watu laki tano , chato ni wilaya ndogo sana kupokea miradi ya bil 127 peke yake, huwezi ilinganisha na wilaya yoyote ulizotaja
Halafu pia kuna swala la economic potentials za miradi , mfano ubungo flyover inaweza kutumika na walau robo ya Watanzania , sio chato airport .
Sasa mkuu haya masuala ya economic potential, Chato Airport na flyover yametokea wapi?

Mimi nimeomba details tu! Kuongeza ufahamu imezua balaa kiasi hiki kweli?
 
Sasa mkuu haya masuala ya economic potential, Chato Airport na flyover yametokea wapi?

Mimi nimeomba details tu! Kuongeza ufahamu imezua balaa kiasi hiki kweli?
Nilitaka nikueleweshe Ila naona ni mtu ambaye umeamua tu kutotumia common sense yako vizuri!
Mada ni chato na details mtoa Mada kaweka pale juu , tunajadili hilo, unapouliza habari ya wilaya nyingine hueleweki unataka nini.
 
Chato kila waziri alijitahidi kujipendekeza kwa boss . Chato ni wilaya ndogo tu huko kanda ya ziwa . Haiwezi kulingana hata na Kahama, Tarime, Serengeti nk . Chato ilinganishe na wilaya kama Rorya, Sengerema, Kyerwa, Busega nk . Kupewa miradi mingi huku wilaya zingine zikisubiri majaaliwa ni ubinafsi wa viongozi wa ki Africa

Odhis *
 
Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.

Oke, naomba details za wilaya ya Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Ilala, Ilemela, Mbeya Mjini, Kisarawe, na Bagamoyo.
MBONA JIBU UNALO? au wewe ni Mkaguzi wa Serikali?
hakuna Kijiji, Wilaya, Mkoa au Jiji iliyopewa pesa kiasi km hicho kwa ajili ya maendeleo
wao wanakusanya bilioni 2 wapo wakazi laki 4
wakapangiwa bilioni 9.1
wakapewa zaidi bilioni 9.2
zaidi ya milioni 50
ina maana Makusanyo ya watanzania wengine na keki ya Taifa wameonezea bilioni 7.2
 
Mingi ya hii miradi imekua ya matumizi sana kipindi cha msiba na maombolezo

Hayati John Pombe Joseph Magufuli alijaaliwa na mwenyezi Mungu kujiandalia hadi mazingira ya yeye kupumzishwa kwa amani

May his soul rest in eternal peace Amen🙏
Angejiandalia kwa pesa zake kama ndio sababu, make pumziko ni la mtu binafsi, sio pumziko la Taifa.
 
Matumizi mabaya ya kodi zetu
Huko angefanya miradi ya huduma za kijamii za msingi, hospitali, maji, umeme nk .... Sasa chuo cha Veta huko bush cha nini? Uwanja wa ndege huko bush wa nini (anyway ndio umetumika kumpeleka kwenye mazishi yake)

Sana.

Halafu alijifanya mzalendo....!!!!

Value for money hamna kabisa.

Mradi wa maji unatumia mabilioni kwa wakazi laki tano.....haijakaaa poa.
 
Hajielewi huyo
Imetajwa wilaya sio mkoa! Pia ni wilaya ambayo haiko ndani ya jiji.

Kwahiyo kama ni kulinganisha inatakiwa uoneshe ni wilaya ipi nyingine iliyo vijijini iliyopokea miradi mingi kama hiyo ya chatu
 
Back
Top Bottom