kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,646
- 9,622
Analialia nn hapo bado kunaNilitaka nikueleweshe Ila naona ni mtu ambaye umeamua tu kutotumia common sense yako vizuri!
Mada ni chato na details mtoa Mada kaweka pale juu , tunajadili hilo, unapouliza habari ya wilaya nyingine hueleweki unataka nini.
Bandari ya Nyamurenge
Chuo cha utumishi wa uma
Barabara za Lami
Gereza Chato
Hotel ya Tanapa
Mbuga ya Burugi Chato
Shama la miti la Silayo