Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Wakishaanua matanga wataelewa tu, sahivi bado akili haijakaa sawa.Watu wa chama hawaelewi
Wakishaanua matanga wataelewa tu, sahivi bado akili haijakaa sawa.Watu wa chama hawaelewi
Mfugale ni grant kutoka kwa mjapani, kawadanganye wajingaHiyo Billion 127 sisi huku Dar tumefanyia project moja tu ya Mfugale.. alafu Chato wanafanyia zaidi ya miradi 7...!!!
Mkuu unazingua ndo nyie nyerere hakufanya maendeleo kwao huwa mna mponda pia hamna jema acha tanzania ijengwe pole pole sehemu moja moja mwisho tutamaliza kote shida ikwapi
Namshangaa mtoa mada maana kwa hiyo bajeti ni pesa ndogo mno na wao wameamua kuweka vipaumbele vyao inawezekana utekelezaji wake ukawa wa miaka ata miwili au mitatu.Point yako inalenga nini Mkuu?
Siyo ZETU WENYEWE ZA ndani TENA..!!??Mfugale ni Japanese grant
Nakumbusha tu
Binadamu sisi ni wanafiki sana,Yaan umeona miradi ya chato tu?.Dar,Moro,Pwani,Dom,Arusha nk huko nako vp?
DSM ina wakazi (population) karibu milioni 7 sasa....Hiyo Billion 127 sisi huku Dar tumefanyia project moja tu ya Mfugale.. alafu Chato wanafanyia zaidi ya miradi 7...!!!
Ulishaona shetani ana mshipa wa aibu?Jiwe alikuwa hana mshipa wa aibu
Sawa Mkuu yameishaWapi nimefanisha Chato?
Wizi mtupu...af kuna mtu anamuita st.John Pombe Shujaa wa Afrika na sio Shujaa wa Chato!.Hii ndio chatoView attachment 1737975
Sasa bajetii ya mrafi mmoja tu kwa Dar inakuuma nini ikatekeleza miradi zaidi 7 kwa miaka 3?DSM ina wakazi (population) karibu milioni 7 sasa....
Acha kulinganisha DSM na Chato yote mjini na vijijini yenye watu wasiozidi 400,000...!!