Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Usikinganishe kijiji na mikoa au majiji.chato ni kijiji hakistailu international airport
Wapi nimelinganisha? Mimi nimeomba details nifahamu miradi ya maeneo mengine. Kwani nimezungumza chochote!

Tovuti rasmi ya Tamisemi inaeleza Chato ni wilaya sawa na wilaya ya Tabora, Mtwara, Kisarawe, Kinondoni, Kigamboni, Katavi and co.
 
Wewe si umetaka hayo ili ujifanye mbona na huku ilioelekwa miradi kama chato?

Akili yako nishaisoma kitambo
Mbona wanilisha maneno, wapi nimeeleza hayo?

Ikiwa huna details sio lazima, subiri mleta mada au mwenye kuwa nazo atasaidia.
 
Wapi nimelinganisha? Mimi nimeomba details nifahamu miradi ya maeneo mengine. Kwani nimezungumza chochote!

Tovuti rasmi ya Tamisemi inaeleza Chato ni wilaya sawa na wilaya ya Tabora, Mtwara, Kisarawe, Kinondoni, Kigamboni, Katavi and co.
Sie sio wajinga kuomba kwako hizo sehemu tunajua mantiki yakev
 
Wapi nimelinganisha? Mimi nimeomba details nifahamu miradi ya maeneo mengine. Kwani nimezungumza chochote!

Tovuti rasmi ya Tamisemi inaeleza Chato ni wilaya sawa na wilaya ya Tabora, Mtwara, Kisarawe, Kinondoni, Kigamboni, Katavi and co.
Humu kuna GT ujuwe..
 
Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.

Oke, naomba details za wilaya ya Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Ilala, Ilemela, Mbeya Mjini, Kisarawe, na Bagamoyo.

mchawi hujistukia muda wote,ndio huyo jamaa.
 
Inaudhi sana.

Wakazi laki tano tu

Matumizi bilioni 127.

Halafu wanavijumba vya udongo.
Matumizi mabaya ya kodi zetu
Huko angefanya miradi ya huduma za kijamii za msingi, hospitali, maji, umeme nk .... Sasa chuo cha Veta huko bush cha nini? Uwanja wa ndege huko bush wa nini (anyway ndio umetumika kumpeleka kwenye mazishi yake)
 
Back
Top Bottom