Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

mla kala Leo mla Jana kala nini? tumwache Mwene kwenda kaenda zake huko.
 
Lami mpk chooni yaani nimemkubali huyu baba...!!kuna wabunge na viongozi wengi wanarudi makwao kipindi cha uchaguzi au wakifa ndo maana hawakumbuki kwao!Magufuli kajenga kwao kawaumbua kina kikwete,Majaliwa,Membe na Mkapa.

Usisahau Basili Mramba alitenga robo bajeti kupeleka umeme kwao
 
Unavyosema ziletwe takwimu za huko na sio Tandahimba, Mpwapwa, Kasulu ulikuwa na maana gani?
Nahitaji kufahamu maeneo mbalimbali yamefanya ukarabati na miradi gani kwa kiasi gani basi.

Kama unazo details za Tandahimba, Mpwapwa, Kasulu na sehemu yoyote nisaidie mkuu.
 
Wapi nimelinganisha? Mimi nimeomba details nifahamu miradi ya maeneo mengine. Kwani nimezungumza chochote!

Tovuti rasmi ya Tamisemi inaeleza Chato ni wilaya sawa na wilaya ya Tabora, Mtwara, Kisarawe, Kinondoni, Kigamboni, Katavi and co.
Kwa population ya watu laki tano , chato ni wilaya ndogo sana kupokea miradi ya bil 127 peke yake, huwezi ilinganisha na wilaya yoyote ulizotaja
Halafu pia kuna swala la economic potentials za miradi , mfano ubungo flyover inaweza kutumika na walau robo ya Watanzania , sio chato airport .
 
Uchaguzi wa viongozi hapa ni kama kujaamiana. kama ukijaamiana kwa utimamu wa mwili na akili, unatengeneza na kuimarisha mahusiano mazuri;kama ukilazimisha, unamuumiza mwenzako, unakera, unachukiza , unamchubua mwenzako na kama ni upande mmoja tu unashiriki katika hilo tena, wanaita kupiga punyeto politikali (kujichua).

Mwandishi wetu
 
Lami mpk chooni yaani nimemkubali huyu baba...!!kuna wabunge na viongozi wengi wanarudi makwao kipindi cha uchaguzi au wakifa ndo maana hawakumbuki kwao!Magufuli kajenga kwao kawaumbua kina kikwete,Majaliwa,Membe na Mkapa.

Usisahau Basili Mramba alitenga robo bajeti kupeleka umeme kwao
Rombo umeme upo kabla hata Magufuli hajaanza kupokea Salary ya Ualimu.. Sasa sijui unamaanisha umeme upi huo wewe..

Hakuna anayekatazwa kujenga kwake akipata nafasi, ila kupendelea kulikopitiliza ni upumbavu. Sasa hapo uwanja wa ndege wataenda kuchungia mifugo au labda Joseph Magufuli anunue ndege yake binafsi awe anaenda kutembelea ndugu zake na Mama yake pindi atakapoamua kurudi Chato kupumzika..

Hiyo hospitali kama hajafanikiwa kufanya installation ya vifaa vyote muhimu basi ndio itakuwa Kituo cha Afya tu na hizo barabara na taa zitatelekezwa kwa halmashauri yenu inayokusanya billion 1 wakati mahitaji ni zaidi ya billion 8.. Ngoja tutasomana tu baada ya Mwaka mmoja kama Mama Samia atakubali kulipa mishahara hewa ya Uwanja wa Kimataifa wa CHATO
 
Nahitaji kufahamu maeneo mbalimbali yamefanya ukarabati na miradi gani kwa kiasi gani basi.

Kama unazo details za Tandahimba, Mpwapwa, Kasulu na sehemu yoyote nisaidie mkuu.
Anzisha uzi wako mkuu utakuja kusaidiwa huko.. Hapa tupo na Chato..
 
Atumbuliwe kwanza Dotto James ili kupisha uchunguzi.
 
Back
Top Bottom