fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,269
Hii ndio chato
Kwà hali hii, mtasababisha vita vya wenyewe kwa wenyeweHii ndio chatoView attachment 1737975
Imetajwa wilaya sio mkoa! Pia ni wilaya ambayo haiko ndani ya jiji.Mkuu kama unazo details za Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Mwanza, Mbeya na Pwani za hivi naomba.
Hiyo miradi ingekua Geita, walau ingeleta maana...Mkuu unazingua ndo nyie nyerere hakufanya maendeleo kwao huwa mna mponda pia hamna jema acha tanzania ijengwe pole pole sehemu moja moja mwisho tutamaliza kote shida ikwapi
Kazi aliyoifanya Doto James, Katibu mkuu wizara ya fedha.Hii ndio chatoView attachment 1737975
Hiyo Billion 127 sisi huku Dar tumefanyia project moja tu ya Mfugale.. alafu Chato wanafanyia zaidi ya miradi 7...!!!Hii ndio chatoView attachment 1737975
Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.Imetajwa wilaya sio mkoa! Pia ni wilaya ambayo haiko ndani ya jiji.
Kwahiyo kama ni kulinganisha inatakiwa uoneshe ni wilaya ipi nyingine iliyo vijijini iliyopokea miradi mingi kama hiyo ya chatu
Huyu Katibu Mkuu wa Hazina kapotelea wapi?Kazi aliyoifanya Doto James, Katibu mkuu wizara ya fedha.
Usikinganishe kijiji na mikoa au majiji.chato ni kijiji hakistailu international airportMkuu kama unazo details za Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Mwanza, Mbeya na Pwani za hivi naomba.
Chato unaifananisha na hizo sehemu ulizozitaja?Mkuu kama unazo details za Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Mwanza, Mbeya na Pwani za hivi naomba.
Wewe si umetaka hayo ili ujifanye mbona na huku ilioelekwa miradi kama chato?Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.
Oke, naomba details za wilaya ya Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Ilala, Ilemela, Mbeya Mjini, Kisarawe, na Bagamoyo.
Ulizia wilaya ya Ruangwa, iliyopo mkoa wa Lindi.Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.
Oke, naomba details za wilaya ya Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Ilala, Ilemela, Mbeya Mjini, Kisarawe, na Bagamoyo.