Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Hii ndiyo miradi iliyofanyika Chato

Acha unafiki mzee vip mills mwingine huoni . Kisirani the ndo kinakusumbua.
 
Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.

Oke, naomba details za wilaya ya Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Ilala, Ilemela, Mbeya Mjini, Kisarawe, na Bagamoyo.
Wewe ni mgumu kuelewa.
Umeambiwa linganisha na wilaya za vijijini kama Geita vijijini (ambayo Ina watu wengi zaidi ya Chato),Mbogwe,Momba(Songwe) n.k
 
Mkuu wapi nimesema chochote kuhus haya?! mimi nimeomba details kusudi nifahamu details mbalimbali katika miradi ya maeneo mengine. Sijazungumza kingine wala kusema chochote.

Oke, naomba details za wilaya ya Kinondoni, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Morogoro Mjini, Dodoma Mjini, Ilala, Ilemela, Mbeya Mjini, Kisarawe, na Bagamoyo.
Unajua population ya hizo wilaya?iv utalinganisha huduma hizo zilizopelekwa chato kwa watu almost lak nne tu uifananishe hata na kinondoni?hakukuwa na balance kt kuanzisha hyo miradi,huo ulikuwa tu upendeleo kwake,mfn huo uwanja wa b ,39 cjui ni ndege gani itaenda kutua huko maana inasemekana hata wala wanyama washaamia Rwanda ko kivutio cha watalii nacho kimetwaliwa
 
Inaudhi sana.

Wakazi laki tano tu

Matumizi bilioni 127.

Halafu wanavijumba vya udongo.
Inaudhi vipi. Wilaya changa hutumia pesa nyingi kuliko wilaya za zamani, kwa sababu kila kitu hawana. Ukitaka sawa unaotaka kuonyesha hatutafika, kwa sababiu siyo Chato tuiliyotumia billioni 127. Kuna wilaya zilizotumia billioni 300 hadi 500.
 
Imetajwa wilaya sio mkoa! Pia ni wilaya ambayo haiko ndani ya jiji.

Kwahiyo kama ni kulinganisha inatakiwa uoneshe ni wilaya ipi nyingine iliyo vijijini iliyopokea miradi mingi kama hiyo ya chatu
Kweli inatakiwa ilinganishwe na wilaya kama Nyasa au Namtumbo tuone kama keki ya taifa ilikuwa ikigawiwa kwa usawa ama la.
 
Hiyo Billion 127 sisi huku Dar tumefanyia project moja tu ya Mfugale.. alafu Chato wanafanyia zaidi ya miradi 7...!!!
Angalia mapato ya Dar na ya Chato
Population ya datmr vs Chato
 
IMG_20210328_144846.jpg

Mfugale tower Chato
 
Bado kuna
Bandari ya Nyamurembe
Chuo cha utumishi wa Uma
Gereza Chato
Hotel ya Tanapa
Shamba la miti la Silayo
Mbuga ya wanyama Burigi chato
Barabara za Lami
Duuh hii miradi ni ya kufanywa katika level za mkoa sio kiwilaya kama Chato
 
Back
Top Bottom