TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Kuna mandezi wengi sana mtandaoni, nahisi wengi humu ni vijana zetu wadogo sana.
Hawa ni wale ambao akipata kitu kipya na kigeni lazima awaonyeshe wenzake.
Karibu kila mtu alikuwa akipost aina ya VPN anayotumia, hapo nikaanza kujiandaa ikiwa wajomba wa switch wakizima itakuwaje, maana watazuia engo zote.
Sasa bana, siku moja kabla ya uchaguzi nilisearch web gani naweza kutumia ikiwa mtandao umefungwa nikapata moja hivi ambayo kwa uzembe usiku nikasahau kuidownload.
Na mimi nikapigwa lokoo ndiyo hadi leo.
Nilichojifunza ni kuwa watanzania pamoja na uoga tulio nao hatuwezi kukaa kimya kwa jambo ambalo linaweza kuwa faida kwa wakati ujao.
Hawa ni wale ambao akipata kitu kipya na kigeni lazima awaonyeshe wenzake.
Karibu kila mtu alikuwa akipost aina ya VPN anayotumia, hapo nikaanza kujiandaa ikiwa wajomba wa switch wakizima itakuwaje, maana watazuia engo zote.
Sasa bana, siku moja kabla ya uchaguzi nilisearch web gani naweza kutumia ikiwa mtandao umefungwa nikapata moja hivi ambayo kwa uzembe usiku nikasahau kuidownload.
Na mimi nikapigwa lokoo ndiyo hadi leo.
Nilichojifunza ni kuwa watanzania pamoja na uoga tulio nao hatuwezi kukaa kimya kwa jambo ambalo linaweza kuwa faida kwa wakati ujao.