Hii ndiyo CV ya Idd Azzan

Hii ndiyo CV ya Idd Azzan

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
7,907
Reaction score
1,079
Member of Parliament CV

Mhe. Mussa Azzan Zungu​

Naibu Spika

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
National Defence CollegeEleventh Capstone Course20212021Executive Certificate
Institute of International Relations, Cairo, EgyptDiplomatic Studies20072007Executive Certificate
Tanzania Mozambique Centre for Foreign RelationsDiplomatic Studies20212021Executive Certificate
Military College of Aviation - Tanzania / CanadaPrincipal Aircraft Maintenance Engineer19791982Professional Certificate
Tambaza Secondary SchoolACSEE19681969Secondary School
Kinondoni Secondary SchoolCSEE19661968Secondary School
St. Joseph Primary SchoolCPEE19581965Primary School

Employment History :​


Company/InstitutionPositionFromTo
Military College of Aviation - Airwing Tanzania / CanadaAircraft Engineer - Level Three19701971
Military College of Aviation - Airwing Tanzania / CanadaAircraft Engineer - Level Two19711972
Field Aviation - Toronto, CanadaEngineer19801980
Military College of Aviation - Airwing Tanzania / CanadaAircraft Engineer - Level One19731974

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
Vice President's Office responsible for Union Affairs and EnvironmentMinister2020June, 2020
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20152020
Public Procurement Regulatory AuthorityBoard Member20082014
Social Development and Services CommitteeDeputy Chairman20152018
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20052010
Parliament of TanzaniaPresiding Officer20102015
Commonwealth Parliamentary Association (T) BoardChairman20052010
Ilala MunicipalCouncilor20022005
Board of Legislature Support Project (LSP II)Member2016Jan, 2020
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20102015
Parliamentary Service CommissionMember2016Todate
Foreign Affairs, Defence and Security CommitteeChairman2018Jan, 2020
Ilala MunicipalDeputy Mayor20022005
Ilala Municipal Investment CommitteeChairman20022005
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20202025
Foreign Affairs, Defence and Security CommitteeChairman20212022
Parliament of TanzaniaPresiding Officer20152020
Parliament of TanzaniaPresiding Officer20212022
Parliament of TanzaniaDeputy Speaker2022Todate

Source: Parliament of Tanzania


Akianani vile hii ndio ccm!
 
Jiulize tangu 1979 hadi 2001 alikuwa anafanya nini?
Inaonekana 1985 alikuwa director wa kampuni ya kimachinga (Hajaitaja)
Alafu baada ya miaka 5 hata hajaongeza kisomo ni MD wa kampuni isiyojulikana! lazima itakuwa ni ya briefcase
1998 Meneja wa Simba na hapo aligundua sasa huwezi kuwa meneja bila kisomo kaenda kusomea certificate ESAMI

Sasa tukijiuliza kwa nini hata vilabu vyetu havina mafanikio, au kwa nini soka letu ni bofu bofu miaka yote tunaona ni maswali magumu??? Vilabu vinaongozwa na uneducated!!!! Na fikiri tumewaingiza bungeni what next???

Moja ya sababu kubwa ya kusoma ni kupanua ubongo uweze kuchanganua mambo. Hapa utegemee kusikia "ndiooooooooooo nakubaliana kwa asilimia 100"
 
Kimbunga hii cv utagundua ni ya kuundaunda na imefanywa hivyo kuwababaisha wana ccm! Lakini yeye, Lusinde, Maji marefu na wengine unaoendelea kuwafuatilia hamna kitu.
Ngoja tuangalia na viti maalu huko ndio kabisa!
 
Last edited by a moderator:
CCM kichefuchefu tu!

Kuna nchi hapa East Africa inayoweza kuwa na Mbunge kama huyu?
Hebu tusogee pale DRC, yupo?

Mtu kama huyu alistahili kuwa mbunge kwenye serikali itakayoundwa na Joseph Kony pale Uganda. Basi!

Kuna haya mambo ya uwakilishi wa kila kundi, labda huyu anawawakilisha wasiojua kusoma na Kuandika kinyume cha katiba. Kweli hata zezeta watapeleka mwakilishi.
 
Kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, sifa ya elimu anayotakiwa kuwa nayo mbunge ni Elimu ya Darasa la Saba. Nadhani mjadala ukielekea huko utakuwa na tija zaidi ili kama kuna haja ya kufanya marekebisho basi hoja zijengwe in that context. Vinginevyo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi za CCM, Mheshimiwa Azzan ni mbunge halali kwani Per kanuni za chama cha mapinduzi as of today, mgombea akiwa na kiwango cha elimu cha form four, form six, certificate, diploma, degree, n.k, hiyo inachukuliwa kama ni ziada tu na haipewi uzito na vikao vya kupitisha/kuchuja wagombea. Suala la elimu kwa sasa ni suala la wapiga kura mmoja kwa mmoja kuwa na uelewa tu kwamba je, itumike kama kigezo au lah.

Na mara nyingi ukiwa mgombea mwenye elimu kubwa, ni kawaida sana kujengewa fitina kwamba umechakachua au kampeni zako haziwatendei haki wagombea wasio na elimu, au kwamba peleka elimu yako kwingine ukajenge taifa, sio kwenye nafasi ya ubunge kwani mujibu wa kanuni ya CCM, darasa la saba linatosha, na wananchi hawana haja ya kuzingatia kiwango cha elimu kama ni kigezo cha kukuchagua kama mgombea/mbunge. Nadhani mjadala ungeelekezwa zaidi juu ya kanuni hii badala ya kumjadili Mh Azzan ambae katika mazingira haya, hana hatia na ni mwakilishi halali wa wananchi wa jimbo la Kinondoni.
 
Acheni Kejeli. Fursa za vyuo zilikiwa chache. Wewe umebahatika. Hata ndugu zako wengi hawakujaliwa kupata hiyo fursa. Kumbuka kodi ya baba yake Azzan zililipia gharama za Chuo ulipokuwa unatafuta degree zako. Acheni Dharau.



acha kuwa dhaifu kwa kutetea uzembe wewe.....angekua mtu wa kusoma angesoma tu mbona lyatonga kasoma hadi juzijuzi tuu!!??

kama ni mtu wako wa karibu mwambie aanze QT pale perfect vision
 
Back
Top Bottom