Hii ndio miujiza inayowachanganya watu

Hii ndio miujiza inayowachanganya watu

Tahadhari huu Uzi Una Ukakasi kwa baadhi ya watu :

Hii habari nimeipata baada ya Kuangalia KTN Television inchini Kenya ni habari ya kichunguzi katika nyumba za ibada.

Hawa ni Manabii WA kizazi hiki na majina Yao makubwa makubwa mara Mtume mkuu,Nabii na kadhalika,jinsi wanavyofanya utapeli kuwahadaa kondoo wao kuendelea kuwapiga mahela.

Ziligundulika mbinu zifuatazo:

Mosi, kuwapanga watu watoe shuhuda mbali mbali ikiwemo kuugua ukimwi na maradhi mengine mbali mbali na kisha baadae kusema wamepona,na wengine hurekodiwa na kurushwa katika Redio kana kwamba wako live wanapiga simu lkn kumbe walicheza Hilo picha kitambo Tu.

Kutolewa vitu mwilini kwa Miujiza lakini ni uwongo mtupu,mfano walionekana watu wanaweka miguu katika mabeseni na kuoshwa miguu na maji kuwa mekundu, kumbe kuna kemikali moja wachungaji wanapaka katika mikono Yao halafu baada ya mda mfupi wakiwa wanasugua miguu ya kondoo wao inayeyuka na maji yanakuwa mekundu. Hapo inasemwa umetolewa uchawi na mabalaa kumbe ni upigaji Tu.

Wanapangwa vilema wa uongo ambao wanafundishwa namna ya.kucheza na viungo vyao na kweli ukiwaona utadhani ni vilema kweli lakini kumbe ni sarakasi za 5G!

Sasa kubwa kuliko yote ambayo watu wengi hawajui ni kuwepo na watu special ambao kazi yao ni kuwatambua kondoo wapya katika kanisa lao. Hawa wakisha kulenga basi watakuja ulipo kaa na kuzungumza na wewe mawili matatu na mwisho wa siku utatoa changamoto zako.

Sasa anakuwa makini kusikiliza halafu anaenda kwenye daftar na kuandika jina lako na changamoto zako mbalimbali, halafu zile data anapewa Nabii au Mtume whatever the case, huenda zikapita siku tatu au nne au hata wiki.

Unashangaa siku Nabii anakuita wewe fulani au wewe mama mwenye kitenge fulani njoo hapa madhabauni kuna kitu nimeona, anaanza kutaja changamoto zako na ukicheki ni kweli. Kwa ubwege wako ushasahau kuwa kuna siku uliuza faili lako lote kwa kondoo wenzako.

Basi utaona daah umekutana na bonge la Nabii kumbe upuuzi mtupu, hapo unaaza kupigwa mahela mwanzo mwisho.

Hilo nimelidhibitisha kwa mtu wangu wa karibu hapa Tanzania, alienda Kanisa fulani yeye ni Muislamu, akaenda Kanisa fulani, akaambiwa wewe si umeolewa mke wa pili, kuna changamoto moja mbili tatu na kweli Nabii anagusa mule mule. Lakini alishasahau kuna kipindi alikutana na mdada mwenzake kanisani na kuuza faili lake, haya mambo yapo sana.

Na wengine utasikia huyu Nabii yaani anaona sana, yaani ana maono hatari kumbe wanapiga ramli au wanashirikiana na wapiga ramli, unamuona ana maono kumbe mshirikina tu.

Unaweza ingia YouTube na kusechi hii clip na ukajionea mambo kibao, nimekupa kwa uchache Tu.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo tu!

Aisee anaitwa pastor Kanyari tapeli namba moja. Cha kushangaza mpaka leo watu wanamfuata.
 
nachukulia habari hizi kwa tahadhari Bwana ERTUGUR BEY unajulikana we ni mrengo gani. habari cant be reliable, ingukua umeandika kuhusu masheck feki ningekuamini.
Ushaingiza udini tayari hapo!

Ikitandazwa hoja mezani, tuwe tunaijadili hiyo hiyo bila kuruka fensi.

Ukisharuka uzio, akili yako inadumaa na kubweteka kushindwa kuwaza nje ya box, ninamaanisha habari hata ikiletwa wewe ukaiona ni ya mrengo fulani ama ni ya kipumbafu, jikite kuangazia context yake tu.

Tujiepushe kuegemea udini, uchama na ukanda vinavyoweza kutubungua na kutupukutisha nafsi zetu.
 
Tahadhari huu Uzi Una Ukakasi kwa baadhi ya watu :

Hii habari nimeipata baada ya Kuangalia KTN Television inchini Kenya ni habari ya kichunguzi katika nyumba za ibada.

Hawa ni Manabii WA kizazi hiki na majina Yao makubwa makubwa mara Mtume mkuu,Nabii na kadhalika,jinsi wanavyofanya utapeli kuwahadaa kondoo wao kuendelea kuwapiga mahela.

Ziligundulika mbinu zifuatazo:

Mosi, kuwapanga watu watoe shuhuda mbali mbali ikiwemo kuugua ukimwi na maradhi mengine mbali mbali na kisha baadae kusema wamepona,na wengine hurekodiwa na kurushwa katika Redio kana kwamba wako live wanapiga simu lkn kumbe walicheza Hilo picha kitambo Tu.

Kutolewa vitu mwilini kwa Miujiza lakini ni uwongo mtupu,mfano walionekana watu wanaweka miguu katika mabeseni na kuoshwa miguu na maji kuwa mekundu, kumbe kuna kemikali moja wachungaji wanapaka katika mikono Yao halafu baada ya mda mfupi wakiwa wanasugua miguu ya kondoo wao inayeyuka na maji yanakuwa mekundu. Hapo inasemwa umetolewa uchawi na mabalaa kumbe ni upigaji Tu.

Wanapangwa vilema wa uongo ambao wanafundishwa namna ya.kucheza na viungo vyao na kweli ukiwaona utadhani ni vilema kweli lakini kumbe ni sarakasi za 5G!

Sasa kubwa kuliko yote ambayo watu wengi hawajui ni kuwepo na watu special ambao kazi yao ni kuwatambua kondoo wapya katika kanisa lao. Hawa wakisha kulenga basi watakuja ulipo kaa na kuzungumza na wewe mawili matatu na mwisho wa siku utatoa changamoto zako.

Sasa anakuwa makini kusikiliza halafu anaenda kwenye daftar na kuandika jina lako na changamoto zako mbalimbali, halafu zile data anapewa Nabii au Mtume whatever the case, huenda zikapita siku tatu au nne au hata wiki.

Unashangaa siku Nabii anakuita wewe fulani au wewe mama mwenye kitenge fulani njoo hapa madhabauni kuna kitu nimeona, anaanza kutaja changamoto zako na ukicheki ni kweli. Kwa ubwege wako ushasahau kuwa kuna siku uliuza faili lako lote kwa kondoo wenzako.

Basi utaona daah umekutana na bonge la Nabii kumbe upuuzi mtupu, hapo unaaza kupigwa mahela mwanzo mwisho.

Hilo nimelidhibitisha kwa mtu wangu wa karibu hapa Tanzania, alienda Kanisa fulani yeye ni Muislamu, akaenda Kanisa fulani, akaambiwa wewe si umeolewa mke wa pili, kuna changamoto moja mbili tatu na kweli Nabii anagusa mule mule. Lakini alishasahau kuna kipindi alikutana na mdada mwenzake kanisani na kuuza faili lake, haya mambo yapo sana.

Na wengine utasikia huyu Nabii yaani anaona sana, yaani ana maono hatari kumbe wanapiga ramli au wanashirikiana na wapiga ramli, unamuona ana maono kumbe mshirikina tu.

Unaweza ingia YouTube na kusechi hii clip na ukajionea mambo kibao, nimekupa kwa uchache Tu.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo tu!
Ndio ukweli,nashukuru Mungu huu utapeli Mimi niliufaahamu nikiwa kijana kabisa,20yrs,nikiwa sekondsry,mbinu za upigaji hizo ni kawaida.
 
Tahadhari huu Uzi Una Ukakasi kwa baadhi ya watu :

Hii habari nimeipata baada ya Kuangalia KTN Television inchini Kenya ni habari ya kichunguzi katika nyumba za ibada.

Hawa ni Manabii WA kizazi hiki na majina Yao makubwa makubwa mara Mtume mkuu,Nabii na kadhalika,jinsi wanavyofanya utapeli kuwahadaa kondoo wao kuendelea kuwapiga mahela.

Ziligundulika mbinu zifuatazo:

Mosi, kuwapanga watu watoe shuhuda mbali mbali ikiwemo kuugua ukimwi na maradhi mengine mbali mbali na kisha baadae kusema wamepona,na wengine hurekodiwa na kurushwa katika Redio kana kwamba wako live wanapiga simu lkn kumbe walicheza Hilo picha kitambo Tu.

Kutolewa vitu mwilini kwa Miujiza lakini ni uwongo mtupu,mfano walionekana watu wanaweka miguu katika mabeseni na kuoshwa miguu na maji kuwa mekundu, kumbe kuna kemikali moja wachungaji wanapaka katika mikono Yao halafu baada ya mda mfupi wakiwa wanasugua miguu ya kondoo wao inayeyuka na maji yanakuwa mekundu. Hapo inasemwa umetolewa uchawi na mabalaa kumbe ni upigaji Tu.

Wanapangwa vilema wa uongo ambao wanafundishwa namna ya.kucheza na viungo vyao na kweli ukiwaona utadhani ni vilema kweli lakini kumbe ni sarakasi za 5G!

Sasa kubwa kuliko yote ambayo watu wengi hawajui ni kuwepo na watu special ambao kazi yao ni kuwatambua kondoo wapya katika kanisa lao. Hawa wakisha kulenga basi watakuja ulipo kaa na kuzungumza na wewe mawili matatu na mwisho wa siku utatoa changamoto zako.

Sasa anakuwa makini kusikiliza halafu anaenda kwenye daftar na kuandika jina lako na changamoto zako mbalimbali, halafu zile data anapewa Nabii au Mtume whatever the case, huenda zikapita siku tatu au nne au hata wiki.

Unashangaa siku Nabii anakuita wewe fulani au wewe mama mwenye kitenge fulani njoo hapa madhabauni kuna kitu nimeona, anaanza kutaja changamoto zako na ukicheki ni kweli. Kwa ubwege wako ushasahau kuwa kuna siku uliuza faili lako lote kwa kondoo wenzako.

Basi utaona daah umekutana na bonge la Nabii kumbe upuuzi mtupu, hapo unaaza kupigwa mahela mwanzo mwisho.

Hilo nimelidhibitisha kwa mtu wangu wa karibu hapa Tanzania, alienda Kanisa fulani yeye ni Muislamu, akaenda Kanisa fulani, akaambiwa wewe si umeolewa mke wa pili, kuna changamoto moja mbili tatu na kweli Nabii anagusa mule mule. Lakini alishasahau kuna kipindi alikutana na mdada mwenzake kanisani na kuuza faili lake, haya mambo yapo sana.

Na wengine utasikia huyu Nabii yaani anaona sana, yaani ana maono hatari kumbe wanapiga ramli au wanashirikiana na wapiga ramli, unamuona ana maono kumbe mshirikina tu.

Unaweza ingia YouTube na kusechi hii clip na ukajionea mambo kibao, nimekupa kwa uchache Tu.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo tu!
Haya yalitabiriwa kutokea siku za mwisho. Km yasipotokea basi Injili na unabii vingekuwa ni uongo. Tatizo watu wasiojua maandiko wakiyaona haya wanaanza kuuponda Ukristo. Lazima unabii utimie ili siku za mwisho zije.
 
Tahadhari huu Uzi Una Ukakasi kwa baadhi ya watu :

Hii habari nimeipata baada ya Kuangalia KTN Television inchini Kenya ni habari ya kichunguzi katika nyumba za ibada.

Hawa ni Manabii WA kizazi hiki na majina Yao makubwa makubwa mara Mtume mkuu,Nabii na kadhalika,jinsi wanavyofanya utapeli kuwahadaa kondoo wao kuendelea kuwapiga mahela.

Ziligundulika mbinu zifuatazo:

Mosi, kuwapanga watu watoe shuhuda mbali mbali ikiwemo kuugua ukimwi na maradhi mengine mbali mbali na kisha baadae kusema wamepona,na wengine hurekodiwa na kurushwa katika Redio kana kwamba wako live wanapiga simu lkn kumbe walicheza Hilo picha kitambo Tu.

Kutolewa vitu mwilini kwa Miujiza lakini ni uwongo mtupu,mfano walionekana watu wanaweka miguu katika mabeseni na kuoshwa miguu na maji kuwa mekundu, kumbe kuna kemikali moja wachungaji wanapaka katika mikono Yao halafu baada ya mda mfupi wakiwa wanasugua miguu ya kondoo wao inayeyuka na maji yanakuwa mekundu. Hapo inasemwa umetolewa uchawi na mabalaa kumbe ni upigaji Tu.

Wanapangwa vilema wa uongo ambao wanafundishwa namna ya.kucheza na viungo vyao na kweli ukiwaona utadhani ni vilema kweli lakini kumbe ni sarakasi za 5G!

Sasa kubwa kuliko yote ambayo watu wengi hawajui ni kuwepo na watu special ambao kazi yao ni kuwatambua kondoo wapya katika kanisa lao. Hawa wakisha kulenga basi watakuja ulipo kaa na kuzungumza na wewe mawili matatu na mwisho wa siku utatoa changamoto zako.

Sasa anakuwa makini kusikiliza halafu anaenda kwenye daftar na kuandika jina lako na changamoto zako mbalimbali, halafu zile data anapewa Nabii au Mtume whatever the case, huenda zikapita siku tatu au nne au hata wiki.

Unashangaa siku Nabii anakuita wewe fulani au wewe mama mwenye kitenge fulani njoo hapa madhabauni kuna kitu nimeona, anaanza kutaja changamoto zako na ukicheki ni kweli. Kwa ubwege wako ushasahau kuwa kuna siku uliuza faili lako lote kwa kondoo wenzako.

Basi utaona daah umekutana na bonge la Nabii kumbe upuuzi mtupu, hapo unaaza kupigwa mahela mwanzo mwisho.

Hilo nimelidhibitisha kwa mtu wangu wa karibu hapa Tanzania, alienda Kanisa fulani yeye ni Muislamu, akaenda Kanisa fulani, akaambiwa wewe si umeolewa mke wa pili, kuna changamoto moja mbili tatu na kweli Nabii anagusa mule mule. Lakini alishasahau kuna kipindi alikutana na mdada mwenzake kanisani na kuuza faili lake, haya mambo yapo sana.

Na wengine utasikia huyu Nabii yaani anaona sana, yaani ana maono hatari kumbe wanapiga ramli au wanashirikiana na wapiga ramli, unamuona ana maono kumbe mshirikina tu.

Unaweza ingia YouTube na kusechi hii clip na ukajionea mambo kibao, nimekupa kwa uchache Tu.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo tu!


Hiyo inaitwa matumizi mabaya ya dini ya ukristo.
 
Uzi wako madini tupu unauconclude vipi kuwa una ukakasi?

Mnapokuwa mnafichua maovu, msirembe rembe ama kumumunya maneno.
Hahaha mkuu umesema kweli kabisa

Tunasema ukakasi kwasababu kuna watu ambao wao Kwa jinsi ambavyo wanaamini wachungaji wao basi kwao wao habar hii inawakera ndio maana kwao inakuwa ukakasi
 
Kuna Nanii mmoja katika kupigika aliniambia nijifanye kilema atanilipa lakini akanidhulumu elfu 30 halafu mpaka Leo anapiga hela kupitia sinema Ile niliyocheza dah Ila poua Tu namwambia nilishatoboa kitambo Sana Maisha na kuna siku tutakutana mahala
Hahaha mkuu umetisha Sana

Kwahiyo uliingizwa town Mzee,dah tubu mkuu hatar sana
 
Mwenye njaa hanaga miiko, tatizo ni kuongezeka kwa umaskini wa kutisha na watu wa Mungu wanakosa misaada na kuangukia mikononi mwa wajanja. CCM ni janga la taifa, viongozi kazi yao ni kulimbikiza mali huku wananchi wakiachwa wateseke
Kweli kabisa mkuu wananchi wamekata tamaa namna pekee ya kupata faraja ni Kwa hawa viongozi wa Dini lkn bahati mbaya zaidi nako wanajikuta kwa wapigaji
 
Huko Kenya kuna Mchungaji alikuwa anaitwa Deya , aliwapiga sana wakenya , alipokuja kustukiwa alikimbia nchi.

Mke wake alikamatwa akafungwa Gerezani .

Kisa chao ni kuiba watoto ,pale Pumwani wodi ya wazazi , kwa kushirikiana na manesi ,

Kisha kuwapa waumini ambao hawakujaliwa kuzaa watoto ,wanatoa ushuhuda kanisani wakidai wamepata watoto kwa njia ya maombi .
Hao ndio balaa zaidi mkuu

Ni Wana roho mbaya Sana kupita kiasi,wanawakosesha raha wazazi halisi na kuwafurahisha waumini wao
 
Comment yako hasa " waende kwenye makanisa yanayoeleweka"
Imenjfanya nitafakari zama zijazo mcha Mungu atamshauri mzinifu basi jifiche pembeni usizini hapo adharani😂😂😂😂
Habibti umetisha Sana bhana
 
Nothing new ni wewe tu kutokuwa mfatiliaji

Huo uhuni wa namna hiyo aliwahi kuufanya mchungaji wa huko marekani aitwae Peter Popoff miaka ya 1980

Huyu pastor alikuwa ana kanisa kubwa sana na alikuwa akisifika kwa kujua taarifa za mtu bila kuambiwa.

Sasa aliweka utaratibu wa kila muumini kuchukua taarifa zake kupitia vitambulisho na background zao kwa njia ya kijanja ambayo haihusiani na mambo ya kanisa.

Halafu siku ya ibada mkewe anabaki nyumbani akiwa na zile taarifa za wale watu wakati huo yeye Peter Popoff yupo ibadani.

Wakawa wanawasiliana na mkewe kupitia earpiece ambazo alikuwa amevaa Pastor na hazikuweza kuonekana kirahisi kwasababu zilikuwa ni very tiny.

So pasta akitaja namba ya muumini mkewe anamsikia kupitia earpiece na tayari anaanza kumsomea taarifa zinazomuhusu muumini husika na matatizo yake yanayomkabili.

Kila muumini mlengwa alikuwa na bumbuwazi kuona namna mchungaji anamuelezea kila kitu kinachomuhusu yeye bila hata kukosea.

Sasa kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa James Randi, huyu ni magician na mwana fizikia mkubwa tu huyu ndio aliyekuja kum expose utapeli wake.

Alimtuma mtu aende kanisani kama security guard na kuvaa vifaa ambavyo vitakuwa vina intercept signals kusikia conversations zote ambazo pastor na mke wake wanawasiliana

Kuna muda walikuwa wanafinya frequency ambapo ilikuwa inamfanya pastor ashindwe kupata mawasiliano mazuri na mkewe na kushindwa kutoa taarifa za watu.

Lakini licha ya huyo Pastor kuwa debunked na watu kujua ukweli lakini bado aliendelea kufanya ibada na watu walizidi kujaa kanisani.

Hiyo inaonesha watu wamekuwa very indoctrinated to the point hawawezi kukubali kubadili mawazo yao.
Asante Sana mkuu

Umezidi kutupa mbinu za kivita ambazo hawa wahuni huzitumia kutapeli watu
 
Yule mwandisha Mohammed Ali wa Kenya aliwahi kulifanyia uchunguzi hili kwa kweli ilikuwa ni bonge la noma, hapa bongo hatujapata waandishi wa namna hii.. ile topic iliitwa makri ya injili kama sikosei
Naam ndiyo yenyewe mkuu

Natamani hawa jamaa wangekuwa bongo kufanya huu ukachero
 
Tahadhari huu Uzi Una Ukakasi kwa baadhi ya watu :

Hii habari nimeipata baada ya Kuangalia KTN Television inchini Kenya ni habari ya kichunguzi katika nyumba za ibada.

Hawa ni Manabii WA kizazi hiki na majina Yao makubwa makubwa mara Mtume mkuu,Nabii na kadhalika,jinsi wanavyofanya utapeli kuwahadaa kondoo wao kuendelea kuwapiga mahela.

Ziligundulika mbinu zifuatazo:

Mosi, kuwapanga watu watoe shuhuda mbali mbali ikiwemo kuugua ukimwi na maradhi mengine mbali mbali na kisha baadae kusema wamepona,na wengine hurekodiwa na kurushwa katika Redio kana kwamba wako live wanapiga simu lkn kumbe walicheza Hilo picha kitambo Tu.

Kutolewa vitu mwilini kwa Miujiza lakini ni uwongo mtupu,mfano walionekana watu wanaweka miguu katika mabeseni na kuoshwa miguu na maji kuwa mekundu, kumbe kuna kemikali moja wachungaji wanapaka katika mikono Yao halafu baada ya mda mfupi wakiwa wanasugua miguu ya kondoo wao inayeyuka na maji yanakuwa mekundu. Hapo inasemwa umetolewa uchawi na mabalaa kumbe ni upigaji Tu.

Wanapangwa vilema wa uongo ambao wanafundishwa namna ya.kucheza na viungo vyao na kweli ukiwaona utadhani ni vilema kweli lakini kumbe ni sarakasi za 5G!

Sasa kubwa kuliko yote ambayo watu wengi hawajui ni kuwepo na watu special ambao kazi yao ni kuwatambua kondoo wapya katika kanisa lao. Hawa wakisha kulenga basi watakuja ulipo kaa na kuzungumza na wewe mawili matatu na mwisho wa siku utatoa changamoto zako.

Sasa anakuwa makini kusikiliza halafu anaenda kwenye daftar na kuandika jina lako na changamoto zako mbalimbali, halafu zile data anapewa Nabii au Mtume whatever the case, huenda zikapita siku tatu au nne au hata wiki.

Unashangaa siku Nabii anakuita wewe fulani au wewe mama mwenye kitenge fulani njoo hapa madhabauni kuna kitu nimeona, anaanza kutaja changamoto zako na ukicheki ni kweli. Kwa ubwege wako ushasahau kuwa kuna siku uliuza faili lako lote kwa kondoo wenzako.

Basi utaona daah umekutana na bonge la Nabii kumbe upuuzi mtupu, hapo unaaza kupigwa mahela mwanzo mwisho.

Hilo nimelidhibitisha kwa mtu wangu wa karibu hapa Tanzania, alienda Kanisa fulani yeye ni Muislamu, akaenda Kanisa fulani, akaambiwa wewe si umeolewa mke wa pili, kuna changamoto moja mbili tatu na kweli Nabii anagusa mule mule. Lakini alishasahau kuna kipindi alikutana na mdada mwenzake kanisani na kuuza faili lake, haya mambo yapo sana.

Na wengine utasikia huyu Nabii yaani anaona sana, yaani ana maono hatari kumbe wanapiga ramli au wanashirikiana na wapiga ramli, unamuona ana maono kumbe mshirikina tu.

Unaweza ingia YouTube na kusechi hii clip na ukajionea mambo kibao, nimekupa kwa uchache Tu.

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo tu!
Akina dr.Kanyali........hao jamaa ni aidha watume mtu afatilie file lako au wengine wanakuaga na majini ya utambuzi kama waganga wa kienyeji, jinsi mganga anavyoweza kutambua shida zako bila wewe kumuelezea ndivyo hivyo hata hao manabii wanapitia hizo njia
 
Back
Top Bottom