A
Anonymous
Guest
Naomba tuwasilishe changamoto ya Hospital ya Wilaya ya Ubungo kutowaruhusu wagonjwa kuingia na simu wodini (wodi ya wazazi na emergency kwa watoto).
Hii ni hatari sana kwani ni kumnyima mgonjwa haki ya kuwasiliana na ndugu zake, na endapo akapata changamoto yoyote kabla ya ndugu kumtembelea basi mgonjwa hatapata msaada wowote.
Na mbaya zaidi ni afya ya Mama na mtoto ambaye ndio inahitaji udharura muda wowote. Yaani kimsingi Mama anaingia hatakiwi kuwa na simu kabisa
Naomba hii changamoto iwasilishwe kwa wahusika kuona kwan ni hii hospital hii tu? Au kuna waraka wowote wa serikali kupitia Wizara ya Afya?
Maana hakuna TANGAZO lolote la katazo ila walinzi (migambo) wanaolinda hapo muda wote wapo Kupambana na kunyang'anya simu wagonjwa wengine ambao hawana taarifa za hilo katazo.
Hii ni hatari sana kwani ni kumnyima mgonjwa haki ya kuwasiliana na ndugu zake, na endapo akapata changamoto yoyote kabla ya ndugu kumtembelea basi mgonjwa hatapata msaada wowote.
Na mbaya zaidi ni afya ya Mama na mtoto ambaye ndio inahitaji udharura muda wowote. Yaani kimsingi Mama anaingia hatakiwi kuwa na simu kabisa
Naomba hii changamoto iwasilishwe kwa wahusika kuona kwan ni hii hospital hii tu? Au kuna waraka wowote wa serikali kupitia Wizara ya Afya?
Maana hakuna TANGAZO lolote la katazo ila walinzi (migambo) wanaolinda hapo muda wote wapo Kupambana na kunyang'anya simu wagonjwa wengine ambao hawana taarifa za hilo katazo.