Hii ndio Kanda ya Kaskazini


Darasa la chuo kikuu wanafunzi tulikua 80, nusu ni wachaga
 
Mimi nimekaa Moshi karibu miaka sita sijaona chuo cha VETA kwenye kila kata
 
Nasema wanyantuzu ni wakush sawa na wachaga tuu uangalie mambo yao kwa makini
 
Hivi Haya mambo bado tu.Eti kanda!!Hizo mada za bwenini kwenu unazileta hapa.
 
Kujinadi kwa wito wa ukabila,ukanda, rangi ya mwili nk ni wito wa "kijahiliya" ni wito wa kijinga. Sijui mtu ananufaika na nini akijinadi kwa wito wa namna hiyo.
Labda hujamuelewa mtoa mada mkuu mkuu,
Binafsi sijaona ubaya wa uzi huu
Ni kama kuwashindanisha watoto wako wanaosoma shule tofauti za viwango sawa kwa mtihani mmoja
Just kuwapa changamoto sio kiwatenganisha
 
Mnachokifanya sasa hao jamaa wa kaskazini walikifanya miaka ya 60 na 70's

Huu ni ushindani mzuri sio kurogana tuuu

Keep the fire burning!
Naona watu na Kanda yao "keep the fire burning" hivi hiki kiingereza watu wa kaskazini ndo huwa mnamezeshwa na watalii sio "nikiona mtu anajisifia anakotoka namwona waheed kabsa,,, jisifie kwa kile ulichokifanya wewe na kwa trend inavyoenda mnaenda kupoteza crown kwa kuendekeza ulevi usiofaa,, maendeleo yaliyopo kaskazini mengi yalifanyika miaka ya nyuma kipindi tunafuata sukari moshi,, kwa sasa upepo umebadilika na Hali hii baada ya miaka 15 tu sijui nani anajisifia eti Kanda gan unatokea,,, huu ujinga uwatoke na pombe muache mnapata hepatitis kijinga tu mtu Ana hela anakuja Ana liver failure,, sasa unadhan sisi tutaweka liver mpya shauri ya pombe yao
 
Kila kanda tz inakitu cha pekee cha kumzidi kanda nyingine

HIV UNAWEZA KUFANANISHA UWEPO WA MADINI KANDA HIYO NA KANDA YA ZIWA??

HV UNAWEZA KUFANANISHA UWEPO CHAKULA KWA WINGI KANDA HIYO NA YA NYANGA ZA JUU KUSINI??

BINAFSI NAONA MMETEKA KWENYE UTALII TUU COZ YA MLIMA NA MBUGA ZA WANYAMA

Kama uoto wa arusha mbona haifiki kwa mtwara

MLICHO JALIWA KINGINR mnapenda sifa kuliko wa haya HVUKITOA WACHAGA KABILA GANI LINAWASOMI KAMA ULIVYO SEMA??
 
Ili nchi iwe imara kabisa kisiasa na kiuchumi ni lazima pawe na mamlaka za kikanda na kila kanda iwe inasimamia maendeleo yake kwa kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…