kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,226
- 9,489
Ndo uanaume huoKutoka kushoto ni Bosco Beda Kyara na Gabriel Jerome Mombuli,wanashikiwa kwa makosa mawili,unyang'anyi wa kutumia silaha na kupatikana na mali inayoamini kuwa ni ya wizi.
Hilo shangingi ni Nissan Patrol V8,Mali ya Kampuni ya Nisk Capital Ltd ya Kenya(siyo la Ikulu ya Kernya kama ilivyoripotiwa),liliibwa Agosti 19 mwaka huu Nairobi Kenya,hawa jamaa ndo wazee wa kupokea na kuuza.
Kanda ya kaskazini mambo ni Motooooooooooooooo


hicho kipande ni 100%