Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Hafu kaskazini ina mikoa zaidi uliyoitaja sema watu wameikremisha hyo
KASKAZINI ipo moja tu....
Izo Kaskazini zingine sijui Kaskazini Magharibi zenye mikoa ya Mara na Mwanza hazitambuliki inajulikana KASKAZINI moja tu ya Kilimanjaro Arusha feat. Manyara na Tanga...

We kaskazini gani unalala njiani ukisafiri kwa basi?
 
Mkuu tafadhali soma andiko langu lililofuata nilikuwa natania tu usinichukulie serious maana .. mimi mwenyewe nipo kaskazini kwa sasa ili charity begin at home umepasifia sana nyumbani ila usiwe mtu wa ukanda sanaa halafu mm cyo mwenyeji huku ila nimejaribu kutembea tembea hakuna tofaut sana na kanda nyingine vyote ulivyovitaja vipo pia kanda nyingine sema hongera watu wa kaskazini mnajua kupasifia nyumbani


Yeah ni kweli. huwezi fanikiwa katika maisha kama hujivunii, hupasifii au kupenda kwenu. Angalia mataifa makubwa yote. Angalia wahindi, wachina, Waisrael, Wamarekani, n.k. Kwa hapa bongo watu wenye kupenda kujivunia ni Wahaya na Wachaga. Huoni wanavyozidi kustawi. Mtu ukijidunisha ndivyo unavyozidi kuwa duni.

Embu angalia Wazungu, huwezi kudhani kabisa kwamba wapo wazungu masikini kutokana na wao kujitukuza. Na hata vyombo vyao vya habari huwezi sikia habari mbaya kutoka kwao. Lakini wapo wazungu masikini kuliko hata waafrika huku. Kujitukuza kunawafanya wawe vile wasemavyo. Maneno yanaumba Mkuu.
 
KASKAZINI ipo moja tu....
Izo Kaskazini zingine sijui Kaskazini Magharibi zenye mikoa ya Mara na Mwanza hazitambuliki inajulikana KASKAZINI moja tu ya Kilimanjaro Arusha feat. Manyara na Tanga...

We kaskazini gani unalala njiani ukisafiri kwa basi?
Kulala njiani hakumaanishi sehemu ndo maana kuna kaskazini magharibi na mashabiki vivo hivo na kusini mashariki
 
Yeah ni kweli. huwezi fanikiwa katika maisha kama hujivunii, hupasifii au kupenda kwenu. Angalia mataifa makubwa yote. Angalia wahindi, wachina, Waisrael, Wamarekani, n.k. Kwa hapa bongo watu wenye kupenda kujivunia ni Wahaya na Wachaga. Huoni wanavyozidi kustawi. Mtu ukijidunisha ndivyo unavyozidi kuwa duni.

Embu angalia Wazungu, huwezi kudhani kabisa kwamba wapo wazungu masikini kutokana na wao kujitukuza. Na hata vyombo vyao vya habari huwezi sikia habari mbaya kutoka kwao. Lakini wapo wazungu masikini kuliko hata waafrika huku. Kujitukuza kunawafanya wawe vile wasemavyo. Maneno yanaumba Mkuu.
yaaap ni vizuri na katika hii sekta ya kusifia kwenu mpo vizuri basi msisahau pia kuisifia nchi yetu kwa ujumla
 
Kulala njiani hakumaanishi sehemu ndo maana kuna kaskazini magharibi na mashabiki vivo hivo na kusini mashariki
Sasa KASKAZINI ipo moja tu ambayo nimekuambia apo juu....

Usilazimishe mana watu wa makabila bana sasa unataka uongeze mikoa ya ajabu ajabu kwenye kanda ya KASKAZINI? Acha izo bana.

Kaskazini ni moja tu iyo kanda ya nyonyo haiwezi kuingia kwnye KASKAZINI ya ukweli kwa gia ya Kaskazini Magharibi no way.
 
yaaap ni vizuri na katika hii sekta ya kusifia kwenu mpo vizuri basi msisahau pia kuisifia nchi yetu kwa ujumla

Nchi tunaisifia tukiwa nje ya nchi. Hata wahaya au wachaga huwezi kuta wanajisifu wakiwa kwao. Ila wakiwa nje ya kwao utasikia kule kwetu. Ndivyo ilivyo Mkuu. Mimi nikiwa Moshi utanikuta nikiukosoa vilivyomji ule kutokana na kuuona haukui. Na hata tunaotokea huko wote tunalalamika sana tukiwa moshi au Arusha kuwa hapakui. Lakini tukiwa nje huwezi kusikia tukipaponda home. Tunatumia kauli ya Nyumbani ni nyumbani
 
Nchi tunaisifia tukiwa nje ya nchi. Hata wahaya au wachaga huwezi kuta wanajisifu wakiwa kwao. Ila wakiwa nje ya kwao utasikia kule kwetu. Ndivyo ilivyo Mkuu. Mimi nikiwa Moshi utanikuta nikiukosoa vilivyomji ule kutokana na kuuona haukui. Na hata tunaotokea huko wote tunalalamika sana tukiwa moshi au Arusha kuwa hapakui. Lakini tukiwa nje huwezi kusikia tukipaponda home. Tunatumia kauli ya Nyumbani ni nyumbani
ni sahihi kabisa hivyo mkuu kumbe hamuoni vibaya kwa Raisi wetu anavyo jaribu kujenga kwao?
 
Sasa KASKAZINI ipo moja tu ambayo nimekuambia apo juu....

Usilazimishe mana watu wa makabila bana sasa unataka uongeze mikoa ya ajabu ajabu kwenye kanda ya KASKAZINI? Acha izo bana.

Kaskazini ni moja tu iyo kanda ya nyonyo haiwezi kuingia kwnye KASKAZINI ya ukweli kwa gia ya Kaskazini Magharibi no way.
Mkuu wewe kumbe hutaki hao wengine waingie ila haihalalishi ukweli wa hzo kaskazini magharibi.

Hahaaaa eti kanda ya nyonyo nimepata kitu kipya
 
Habari Wakuu!

Kanda ya kaskazini inajumuisha Mikoa mitatu ambayo ni mkoa wa Arusha( na Manyara), Tanga na Kilimanjaro. Mikoa hii ni moja ya mikoa iliyobarikiwa karibu kila kitu. Nathubutu kusema kanda ya kaskazini ni zaidi ya nchi ya maziwa na asali. je si kanda ya kaskazini yenye mali asili nyingi kupita kanda yoyote ile. Mali asili zilizopo huko huweza kuingia katika top ten kiulimwengu.

Nikianza na Rasilimali watu. Kanda hii kuna makabila mbalimbali yenye mila na destu zao. Wapo Wachaga, Wapare, Wamasai, Wasambaa, wadigo, wazigua, wabondei, Wameru, Wambulu, wambugu n.k. Kila kabila linavijikabila ndani yake. Hakuna sifa yoyote kiulimwengu ambayo watu wa kanda hii hawana. Kama ni wanawake wazuri hii ndio kanda iliyobarikiwa kuliko kanda zingine. Watoto kutoka Tanga, Watoto kutoka Manyara ndio usiseme kabisa.

Kwa habari ya elimu kanda hii wanatisha. Karibu kila familia kuna zaidi ya watoto wawili wenye shahada. Kila ukoo unawatu wenye shahada mbili au hata tatu. hii tafsiri yake ni kuwa watu kutoka huko wapo vizuri kielimu. Tofauti na kanda nyingine au hata nchi nyingine ambazo unaweza kukuta kwenye familia hakuna hata mwenye elimu ya kidato cha sita. Kutokana na watu kuwa na elimu katika kanda hii ndio maana hata maendeleo yao si haba.

Kwa habari za miundo mbinu kama barabara, reli, viwanja vya ndege, bandari n.k. Kanda ya kaskazini imesheheni. Kuna kiwanja kimoja cha ndege cha kimataifa(KIA) ambacho kinaruhusu ndege kutoka mataifa ya nje kufika kanda hiyo. Pia vipo viwanja vya ndege vidogo vidogo. Ipo bandari ya Tanga ambayo Kanda hii inaweza kupokea meli kutoka sehemu yoyote duniani. barabara ya lami kiasi wamejitahidi ukilinganisha na kanda zingine na nchi zingine. Reli nayo ipo. Nini kimebakia kwenye habari ya miundo mbinu. Jibu ni hakuna.

Huduma za kijamii kama Zahanati, Hospitali, Shule, Vyuo vya ufundi, Vyuo vikuu, Umeme, huduma za kibenki, Makanisa, Misikiti, Vyombo vya habari n.k. Ipo hospitali kubwa ya KCMC ambayo ni moja ya hospitali kongwe na bora katika nchi hii. Kila wilaya kuna Zahanati kama si hospitali ndogo. Vyuo vya ufundi (VETA) Karibu kila kata kama si wilaya vipo. Vyuo Vikuu vinavyotoa kozi mbalimbali vipo. Kanda hii ndio kanda pekee yenye shule nyingi kuliko kanda yoyote hapa duniani na hata baadhi ya mikoa ya nchi fulani barani Afrika. Usishangae katika kata moja kukawa na shule za msingi hata 10, Shule za sekondari tano. Hii ni kusema kuwa wanayohaki kupata elimu wengi. Umeme upo karibu kila kijiji. Vyombo vya habari zikiwemo Redio kadha wa kadha. Huduma za kibenki kila wilaya na hata baadhi ya kata kuna vituo vya kutolea pesa. Huduma za mawasiliano ipo, kila mtandao unashika vizuri. Hakuna tabu ya kufanya miamala ya simu.\

Wasomi na Wataalamu katika kanda hii ni wengi sana. Ndio kanda pekee inayoongoza kwa kuwa na wasomi wengi na wataalamu wengi. Wanasheria, Madaktari, Waalimu, Wahandisi, Wakandarasi, Wanasiasa, Wachungaji, Wahasibu, wataalamu wa mambo ya fedha, Wataalamu wa mawasiliano na kompyuta, Madereva, Makanika n.k. kwenye nchi hii kila fani niliyoitaja hapo wengi wao wanatoka Kanda ya kaskazini.

Rasilimali kama Mbuga za wanyama, Madini, Mlima Kilimanjaro, Bwawa la Nyumba ya Mungu, Mapango ya ambani, Bahari ya Hindi, Maziwa na mito, Ardhi kubwa yenye Rutuba, Tabia ya nchi nzuri, Miti ya matunda n.k. Kilichokosekana hapa ni Gesi na mafuta tuu. lakini hayo mengine yapo kanda ya kaskazini.

Wasanii na watu maarufu. Kanda ya kaskazini ndio kanda pekee yenye wasanii lukuki wanaoeleweka. Wasanii wengi na watu maarufu wengi hutoka kanda hii. Wengi hutoka TANGA, ARUSHA NA MOSHI. Hivyo ni kusema Kanda hii ni moja ya kanda iliyobarikiwa kupita zote.

Ndio Kanda pekee ambayo watu wake wanapenda kwao na kujivunia kwao. Ni watu ambao hawasiti kujitambulisha popote pale. Mtu hata asipoulizwa hujikuta akisema kuwa kwetu ni Moshi, mara home ARA chuga, ooh kwetu Tanga. Hii huifanya kanda hii kuonekana inaubaguzi na umimi kutokana na hulka ya majigambo.

Matajiri na Wafanya biashara wakubwa. Hakuna ubishi kuwa kanda ya kaskazini inaongoza kwa kuwa na watu wenye mpunga na jala la kufa mtu. Atakayebisha ni yule asiyeijua nchi hii vizuri au ambaye hajatembea mikoa mingi katika nchi hii. Karibu kila kata kwenye majiji makubwa hapa nchi huwezi kukuta matajiri kumi bora wa kata hiyo alafu usikute watano wanatoka kanda ya kaskazini. Si Dar es Salaam, si Mbeya, si Mwanza popote pale lazima matajiri wanne au watano katika kata hizo lazima watoke huko kaskazini. Kanda hii inaheshimu pesa sana. Watu wake hawaoni aibu kufanya hata ni shughuli ya kuuza nyanya bila kujali mtu huyo kaenda shule au hajaenda. Wanachoangalia je kuna mpunga basi.

Majambazi, mafisadi na wahujumu uchumi. Ndio kanda pekee inayoweza kutoa Mafisadi, majambazi na wahujumu uchumi kushinda kanda yoyote hapa nchini. Ujambazi wa kimataifa pia umefanya na watu wa kanda hii. Si ajabu mtu kutoka Arusha akienda Kenya kupiga tukio la kijambazi. Hii imepelekea kanda hii kuogopwa na kutokuaminiwa kabisa na kanda zingine hasa kwenye ishu za pesa. Ndio Kanda pekee ambayo hawataki mchezo na mali zao. Si rahisi umdhulumu mtu kutoka kanda hii. Ukisikia kesi ya kuku ng'ombe anauzwa ili kuendesha kesi basi huko kaskazini ndio mtindo.

Ndio Kanda pekee ambayo hawakatai watoto. Na si rahisi kuchukua damu yao.

Ndio kanda pekee inayojiona Superior kuliko kanda zingine. Mtu kutoka huku hata kama hajaenda shule huwezi kumuendesha na kumdharau eti kisa wewe umeenda shule au unavijipesa.

Ikumbukwe kwamba mtu yeyote anaweza kuwa kanda ya kaskazini iwe kwa damu au kuzaliwa huko.

Nawasilisha!
Duuh
 
ni sahihi kabisa hivyo mkuu kumbe hamuoni vibaya kwa Raisi wetu anavyo jaribu kujenga kwao?


Binafsi sioni tabu yoyote. Sasa asipojenga kwao si atakuwa mjinga. Mtu asiyelipa fadhila kwao ni mtu aliyelaaniwa. Ajenge tuu. Namshauri awekeze kwenye elimu zaidi, Afya na barabara
 
Binafsi sioni tabu yoyote. Sasa asipojenga kwao si atakuwa mjinga. Mtu asiyelipa fadhila kwao ni mtu aliyelaaniwa. Ajenge tuu. Namshauri awekeze kwenye elimu zaidi, Afya na barabara
kweli kwa sababu mwl Nyerere alipasahau kwao mpaka sasa ni moja ya wilaya ambayo iko nyuma na yenye matatizo chungu nzima
 
Habari Wakuu!

Kanda ya kaskazini inajumuisha Mikoa mitatu ambayo ni mkoa wa Arusha( na Manyara), Tanga na Kilimanjaro. Mikoa hii ni moja ya mikoa iliyobarikiwa karibu kila kitu. Nathubutu kusema kanda ya kaskazini ni zaidi ya nchi ya maziwa na asali. je si kanda ya kaskazini yenye mali asili nyingi kupita kanda yoyote ile. Mali asili zilizopo huko huweza kuingia katika top ten kiulimwengu.

Nikianza na Rasilimali watu. Kanda hii kuna makabila mbalimbali yenye mila na destu zao. Wapo Wachaga, Wapare, Wamasai, Wasambaa, wadigo, wazigua, wabondei, Wameru, Wambulu, wambugu n.k. Kila kabila linavijikabila ndani yake. Hakuna sifa yoyote kiulimwengu ambayo watu wa kanda hii hawana. Kama ni wanawake wazuri hii ndio kanda iliyobarikiwa kuliko kanda zingine. Watoto kutoka Tanga, Watoto kutoka Manyara ndio usiseme kabisa.

Kwa habari ya elimu kanda hii wanatisha. Karibu kila familia kuna zaidi ya watoto wawili wenye shahada. Kila ukoo unawatu wenye shahada mbili au hata tatu. hii tafsiri yake ni kuwa watu kutoka huko wapo vizuri kielimu. Tofauti na kanda nyingine au hata nchi nyingine ambazo unaweza kukuta kwenye familia hakuna hata mwenye elimu ya kidato cha sita. Kutokana na watu kuwa na elimu katika kanda hii ndio maana hata maendeleo yao si haba.

Kwa habari za miundo mbinu kama barabara, reli, viwanja vya ndege, bandari n.k. Kanda ya kaskazini imesheheni. Kuna kiwanja kimoja cha ndege cha kimataifa(KIA) ambacho kinaruhusu ndege kutoka mataifa ya nje kufika kanda hiyo. Pia vipo viwanja vya ndege vidogo vidogo. Ipo bandari ya Tanga ambayo Kanda hii inaweza kupokea meli kutoka sehemu yoyote duniani. barabara ya lami kiasi wamejitahidi ukilinganisha na kanda zingine na nchi zingine. Reli nayo ipo. Nini kimebakia kwenye habari ya miundo mbinu. Jibu ni hakuna.

Huduma za kijamii kama Zahanati, Hospitali, Shule, Vyuo vya ufundi, Vyuo vikuu, Umeme, huduma za kibenki, Makanisa, Misikiti, Vyombo vya habari n.k. Ipo hospitali kubwa ya KCMC ambayo ni moja ya hospitali kongwe na bora katika nchi hii. Kila wilaya kuna Zahanati kama si hospitali ndogo. Vyuo vya ufundi (VETA) Karibu kila kata kama si wilaya vipo. Vyuo Vikuu vinavyotoa kozi mbalimbali vipo. Kanda hii ndio kanda pekee yenye shule nyingi kuliko kanda yoyote hapa duniani na hata baadhi ya mikoa ya nchi fulani barani Afrika. Usishangae katika kata moja kukawa na shule za msingi hata 10, Shule za sekondari tano. Hii ni kusema kuwa wanayohaki kupata elimu wengi. Umeme upo karibu kila kijiji. Vyombo vya habari zikiwemo Redio kadha wa kadha. Huduma za kibenki kila wilaya na hata baadhi ya kata kuna vituo vya kutolea pesa. Huduma za mawasiliano ipo, kila mtandao unashika vizuri. Hakuna tabu ya kufanya miamala ya simu.\

Wasomi na Wataalamu katika kanda hii ni wengi sana. Ndio kanda pekee inayoongoza kwa kuwa na wasomi wengi na wataalamu wengi. Wanasheria, Madaktari, Waalimu, Wahandisi, Wakandarasi, Wanasiasa, Wachungaji, Wahasibu, wataalamu wa mambo ya fedha, Wataalamu wa mawasiliano na kompyuta, Madereva, Makanika n.k. kwenye nchi hii kila fani niliyoitaja hapo wengi wao wanatoka Kanda ya kaskazini.

Rasilimali kama Mbuga za wanyama, Madini, Mlima Kilimanjaro, Bwawa la Nyumba ya Mungu, Mapango ya ambani, Bahari ya Hindi, Maziwa na mito, Ardhi kubwa yenye Rutuba, Tabia ya nchi nzuri, Miti ya matunda n.k. Kilichokosekana hapa ni Gesi na mafuta tuu. lakini hayo mengine yapo kanda ya kaskazini.

Wasanii na watu maarufu. Kanda ya kaskazini ndio kanda pekee yenye wasanii lukuki wanaoeleweka. Wasanii wengi na watu maarufu wengi hutoka kanda hii. Wengi hutoka TANGA, ARUSHA NA MOSHI. Hivyo ni kusema Kanda hii ni moja ya kanda iliyobarikiwa kupita zote.

Ndio Kanda pekee ambayo watu wake wanapenda kwao na kujivunia kwao. Ni watu ambao hawasiti kujitambulisha popote pale. Mtu hata asipoulizwa hujikuta akisema kuwa kwetu ni Moshi, mara home ARA chuga, ooh kwetu Tanga. Hii huifanya kanda hii kuonekana inaubaguzi na umimi kutokana na hulka ya majigambo.

Matajiri na Wafanya biashara wakubwa. Hakuna ubishi kuwa kanda ya kaskazini inaongoza kwa kuwa na watu wenye mpunga na jala la kufa mtu. Atakayebisha ni yule asiyeijua nchi hii vizuri au ambaye hajatembea mikoa mingi katika nchi hii. Karibu kila kata kwenye majiji makubwa hapa nchi huwezi kukuta matajiri kumi bora wa kata hiyo alafu usikute watano wanatoka kanda ya kaskazini. Si Dar es Salaam, si Mbeya, si Mwanza popote pale lazima matajiri wanne au watano katika kata hizo lazima watoke huko kaskazini. Kanda hii inaheshimu pesa sana. Watu wake hawaoni aibu kufanya hata ni shughuli ya kuuza nyanya bila kujali mtu huyo kaenda shule au hajaenda. Wanachoangalia je kuna mpunga basi.

Majambazi, mafisadi na wahujumu uchumi. Ndio kanda pekee inayoweza kutoa Mafisadi, majambazi na wahujumu uchumi kushinda kanda yoyote hapa nchini. Ujambazi wa kimataifa pia umefanya na watu wa kanda hii. Si ajabu mtu kutoka Arusha akienda Kenya kupiga tukio la kijambazi. Hii imepelekea kanda hii kuogopwa na kutokuaminiwa kabisa na kanda zingine hasa kwenye ishu za pesa. Ndio Kanda pekee ambayo hawataki mchezo na mali zao. Si rahisi umdhulumu mtu kutoka kanda hii. Ukisikia kesi ya kuku ng'ombe anauzwa ili kuendesha kesi basi huko kaskazini ndio mtindo.

Ndio Kanda pekee ambayo hawakatai watoto. Na si rahisi kuchukua damu yao.

Ndio kanda pekee inayojiona Superior kuliko kanda zingine. Mtu kutoka huku hata kama hajaenda shule huwezi kumuendesha na kumdharau eti kisa wewe umeenda shule au unavijipesa.

Ikumbukwe kwamba mtu yeyote anaweza kuwa kanda ya kaskazini iwe kwa damu au kuzaliwa huko.

Nawasilisha!
Ngoja waje wale watu wa kanda ile uone matusi yao....,
 
Si unaona
Ningezaliwa huko siningechezwa ngoma na kuozwa kitambo
Serikal inapaswa kukumbuka baadhi ya maeneo ya nchi hii kwakwel

Huko kuchezwa ngoma ndo kukoje maana sijawahi kuonaga ngoma zaidi ya tv yetu pendwa tibisii

Nakumbuka nilipitaga kwenye tovuti moja ya porno nikashangaa kukuta eti hadi namna ya kukatikia naniliu hapo kinawekwa kinanliu alafu unakikaktikia kuna ka ukweli na mimi nitoke huku Kibosho Kirima
 
sawa Mkuu hongereni ila muwe na usawa na hao wanawake kwa sababu najaribu kuangalia kwenye masuala ya uongozi kama ubunge naona hamuwapi sana nafasi ila suala la elimu ni mhimu ili kupunguza utegemezi kwenye jinsia ya kiume pia kuleta maendeleo katika taifa


Hatuwapi uongozi kivipi Mkuu? Embu muangalie Halima Mdee, Vipi Anna Kilango Malechela, vipi Asha Rose Migiro, Si CCM si CHADEMA kote wanapewa uongozi mkuu
 
Huko kuchezwa ngoma ndo kukoje maana sijawahi kuonaga ngoma zaidi ya tv yetu pendwa tibisii

Nakumbuka nilipitaga kwenye tovuti moja ya porno nikashangaa kukuta eti hadi namna ya kukatikia naniliu hapo kinawekwa kinanliu alafu unakikaktikia kuna ka ukweli na mimi nitoke huku Kibosho Kirima
Huwezi elewa mambo ya kusini haya
Utatelekeza mkeo na watoto kibosho bulee
Usirud kaskazin
 
Back
Top Bottom