Mkuu endelea kusifia kanda yako sisi tunaendelea kujenga chato na kuhakikisha vyombo vya ulinzi na usalama vyote vinaongozwa na sisi na hivyo kuwa kwenye system miaka yote, ukumbuke pia ndugu yako niki wa pili alisema wasomi ni watumwa kwa wanasiasa sasa kuwa na wasomi, pia endelea kuwa na wasichana na wanawake wazuri wanaoua waume zao ili kurithi mali, kuwa na majambazi tutawadhibiti wote, halafu unasema watu wenu wanapenda kwao kwani mheshimiwa hapendi kwao endelea kujidanganya hivyo hivyo, pia wasanii wapo kigoma mkuu siyo huko kwenu mnaowabeba kwa nguvu. Mkuu nawasilisha najivunia kanda ya jiwe.