Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Mkuu endelea kusifia kanda yako sisi tunaendelea kujenga chato na kuhakikisha vyombo vya ulinzi na usalama vyote vinaongozwa na sisi na hivyo kuwa kwenye system miaka yote, ukumbuke pia ndugu yako niki wa pili alisema wasomi ni watumwa kwa wanasiasa sasa kuwa na wasomi, pia endelea kuwa na wasichana na wanawake wazuri wanaoua waume zao ili kurithi mali, kuwa na majambazi tutawadhibiti wote, halafu unasema watu wenu wanapenda kwao kwani mheshimiwa hapendi kwao endelea kujidanganya hivyo hivyo, pia wasanii wapo kigoma mkuu siyo huko kwenu mnaowabeba kwa nguvu. Mkuu nawasilisha najivunia kanda ya jiwe.
100%
 
Mkuu wewe ndo umetaja wasukuma na wavivu, bila kujali kabila yoyote akiwa mvivu hajitumi na akili mgando hawezi kufanikiwa, maana maendeleo ni udhubutu.

Mkuu swala lakuwa na dhahabu nakubaliana nalo na ingetakiwa kanda ya ziwa ipige maendeleo makubwa kwa sababu ya hayo madini, but unfortunately hali huko ndo mbaya kuliko inavotakiwa, rasilimali za madini hazijaweza kuisadia Africa, hususani Tanzania kujikwamua maana inaendeshwa na mabepari ka Acacia kwa hyo return kwa community ni mdogo, hayo madini hayawwzi kuondoa umaskini kusikochukuliwa hatua madhubuti maana madini hayagusi wananchi moja kwa moja ka shughuli nyingine za uchumi.

Hyo ya wachaga kukimbia kwao ni akili ya kwenda kutafta fursa sehemu nyingine ili kujipanua hata mataifa makubwa yanaleta makampuni yao kuwataftia wananchi wao fursa kuondoa u maskini, ndo mana nchi hii miradi mingi inafanywa na wageni hyo yote ni fursa hata wewe usikae sehemu moja eti kisa kwenu usiangalie fursa nyingine huo ni uzembe, watu wana search green pasture.

Mkuu shule za kata zimekataje mzizi wa fitina wakati ndo zimesaidia kuondoa ujinga kwa Watanzania wengi. Kumrudisha nyuma aliyetangulia sio solution dawa ni wewe kujikwamua ili upige hatua, mi tangia nimeanza shule darasni waliokuwa wengi walikuwa wachaga, wahaya wanyakyusa sana sana mkuu kwa wingi.
Miaka kumi waweza kutawala lakini itategemea umeijengea vipi jamii yako kuhusu kuwa na mwamko wa elimu na Ku grab different opportunities.

Sawa ndugu ila uache habari za kujisifu, sabab wachaga ni watanzania, waafrika na Waafrka bado ni watu duni katika dunia.Hkuna mchaga anatambulika katika matajiri wa Afrika na dunia.Hivyo tupambane tu kuondokana na umaskini kama wenzetu wa bara Asia wanatoka taratibu katika poverty circle, tusifurahie umasikini wa mtu yeyote mweusi kwani ni aibu ya wote.
 
Mkuu ni bora ungefanya utafiti vizuri halafu uje,rudi kafahamu kaskazini ina mikoa mingapi? Manyara ni mkoa au sio mkoa? Halafu njoo uanzishe tena uzi
 
Ni kweli shakutana nao wengi ni mabest na Mimi huwapa changamoto za hapa na pale mkuu. Maana wananipenda mwenyewe tu automatically

Cariha achana na hawa vyasaka(samahani kwa ubaguzi) wao wakiona mwanamke mweupa kama dada yangu basi wanazuzuka. Ivi naskia kuchezwa ngoma ndo kukoje maana ushatembeaga kidogo
 
Kaskazini itabaki story....wakati kanda zingine wako juu na wanapiga umande wa nguvu kama kawa...
 
Huku watu tunapambanaga tuu na hali zetu toka kitambo sana.
By the way umesahau kwamba ndio kanda ambayo inaongoza kwa wanawake wengi kupush sio mandinga tuu bali mandinga makali.
 
Kaskazini itabaki story....wakati kanda zingine wako juu na wanapiga umande wa nguvu kama kawa...
We the best bhana. Yaani hata kabla Nyerere hajaenda UNO enzi hizo.
Watu wa kaskazini tulishaendaga kitambo tuu kudai uhuru wetu.
Yaani kwa kifupi tuu tunajitambua toka enzi hizoo.
 
sawaaa tumekuelewa " Mtu kwao " kesho namimi nitafungua uzi kwaajili ya kupamwagia sifa kwetu. ..maana mkataa kwao nimtumwa
 
Hii mbegu inayopandwa hapa italigharimu taifa hili changa linalopatikana pembezoni mwa bahari ya Hindi! Na hili ni tatizo kubwa sana linaloenda kutugharimu. Muda ni mwamuzi mzuri sana kwenye mambo kama haya.
 
Yaani huku kaskazini tukisema tuwe nchi kamili aisee baaada ya muda mchache sana nchi ya Tanzania itakuja kuomba msaada huku.

Ohooooo nimemkumbuka Rizimoja alisema Rais hawezi kutoka kaskazini yaani nilimshangaa sana huyo chasaka. Leo nilibahatika kuangalia kuangalia tibisi yetu pendwa eti jiwe anawaambia wakazi wa huko Sibiti kwamba wanajengewa daraja kwa hiyo wasubiri miradi ya maji, barabara, afya, umeme nk miaka 60 bado msubiri maendeleo wamelogwa nini na bado wanaipa kura ccm yaani yananiudhi.

Nilipenda sera ya chadema kwamba nchi iongozwe kimajimbo sio hela za mlima kilimanjaro zikajenga uwanja wa ndege chattle. Wale ambao hawana rasilimali watajiju

Naomb Mungu CCM waachie CHADEMA nchi tujiletee maendeleo maana mpaka kwa bibi yangu pale Ashira kuna maji ya bomba, umeme na nk
 
Cariha achana na hawa vyasaka(samahani kwa ubaguzi) wao wakiona mwanamke mweupa kama dada yangu basi wanazuzuka. Ivi naskia kuchezwa ngoma ndo kukoje maana ushatembeaga kidogo
Hahaaaa nani aliwaloga kuangalia weupe au kwa vile wote wanafanana sura haijulikana huyu dume au jike waanze kuchaganya damu.
Kuchezwa ngoma hutokea mtoto wa kike akivunja ungo hata na miaka Tisa wanamfundisha mapenzi na jinsi ya kumkatikia mwanaume, ni mafunzo ya ki umalaya tu badala wawafundishe watoto vtu vya msingi wao ndo hivo vtu vya hovyo
 
Back
Top Bottom