Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Hii ndio Kanda ya Kaskazini

shukrani za dhati ziende kwa mangi wa marangu aliyeshirikiana na mabepari ya kizungu kutoka ujerumani ili kumpiga ndugu yake mangi sina kwa ajili ya material things...ndo kitu kilichowawezesha wakawahi mbele paka saiv...
 
Hii mbegu inayopandwa hapa italigharimu taifa hili changa linalopatikana pembezoni mwa bahari ya Hindi! Na hili ni tatizo kubwa sana linaloenda kutugharimu. Muda ni mwamuzi mzuri sana kwenye mambo kama haya.

Kama Rizmoko alitamka kwamb Rais hatatoka kaskazini na Jiwe akapigilia kwamba Kilimanjaro imeendelea kwa hiyo wasubiri apeleke maendeleo kwingine wakti sisi tunalipa kodi na tozo kubwa mfano Kili mountain ndo inaingiza pesa kubwa lakini tunapewa asilimia 4. Mbon wakitugawa hamuwakemei
 
Kama Rizmoko alitamka kwamb Rais hatatoka kaskazini na Jiwe akapigilia kwamba Kilimanjaro imeendelea kwa hiyo wasubiri apeleke maendeleo kwingine wakti sisi tunalipa kodi na tozo kubwa mfano Kili mountain ndo inaingiza pesa kubwa lakini tunapewa asilimia 4. Mbon wakitugawa hamuwakemei
kodi analipa ww ama mzungu kweny mlima kaka...alaf mlima sio mali ya mtu nakurekebishaa ni mli ya watanzania...
 
Kama Rizmoko alitamka kwamb Rais hatatoka kaskazini na Jiwe akapigilia kwamba Kilimanjaro imeendelea kwa hiyo wasubiri apeleke maendeleo kwingine wakti sisi tunalipa kodi na tozo kubwa mfano Kili mountain ndo inaingiza pesa kubwa lakini tunapewa asilimia 4. Mbon wakitugawa hamuwakemei
Achana nae huyo ingekua kaskazini sio kitu asingemwaga povu hivyo.
 
Hahahah eti wanasoma sana
Mtu anagraduate hata barua ya kingereza hawez andika
Ahahahah wamezoea kuchunga
Asili haibadiliki kamwe
Hahahah
Kuchunga ni asili boss, nikienda home hata kama nina pesa kiasi gani lazima ntakamua ng'ombe, ntachunga nikitaka, ntajimix na ngosha wenzangu niliowakutà kijijini na mambo mengine. Wasukuma ni vipanga sana mwana wane jaribu ku refresh mind yako kwa uliosoma nao. Mimi ni m_ lake zone asilia.
 
kodi analipa ww ama mzungu kweny mlima kaka...alaf mlima sio mali ya mtu nakurekebishaa ni mli ya watanzania...

Tunarudi kule kule Geita kuna dhahabu, shinyanga kuna almasi, Simiyu kuna pamba lakini ndo mikoa maskini wa kutupwa hawana barabara, maji, shule, hospitali, vyuo vikuu, viwanda, yaani ni maskini dhahabu, almasi, pamba, samaki haziwasaidii. Mbunge Msukuma anasema tumejaliwa neema tofauti(majimbo ya wabunge kuna yenye milima, madini, samaki n.k) na akawaambia wasiotoka kanda hizo wanyamaze bungeni hatuwezi kufanan ila cha ajabu ndo wa kwanda akawa wa kwanda kuzungumzia korosho ambayo haijui inafananaje na serikali kula hela za wakumima wa kusini
 
Mkuu Umegusa Kila Angle.. Wacha Niongezee Kidogo..
Watu wa Kaskazini tumebarikiwa sana ila sasa Naona tunaingiza ubaguzi Mkubwa sana kwa wa Tanzania wenzetu, Wakaskazini wanaweza Kuoana wao kwa wao na wasiliteane hitilafu ila wacha waoane na Makabila Mengine..
Kwa Mfano mimi siwezi kudate na Demu ambaye sio Mkaskazini.. yaani sijui namwonaje yaani Nakuwa simthamini..Tofauti na Mkaskazini mabaye namwona kama Ndugu na Namthamini na Kumpenda Automaticaly!

Mkuu, in nature watu wa Kaskazini wako Smart sana Kichwani hata kama hajaingia Darasani.. ni watu wanaojiamini sana Kiasili..Watu wa Kaskazini ni watu wanaoamini wana Species nzuri saana, Kuna MWandishi mmoja Mkenya Simkumbuki Jina aliwahi Kusema Watu wa Kaskazini ni Watu wenye Muonekano Mzuri wa Sura Kuliko wote Tanzania!

Pia Naiona Singida ikianza kuwa na Ukaribu na sisi, kwa Maana saivi kumtofautisha Msinginda hasa Mdada na Wadada wengine wa Kikaskazini ni Ngumu saana!

Tuipende Kaskazini Yetu!

Natokea Babati!
Wasukuma ndio watu pekee wanao weza mthamini mtu yeyote pasipo kuzingatia kabila lake, kanda yake au chochote kile. Ukibisha njoo huku kwetu utaona. Unasema hauwezi kudate mwanamke mbali na mkaskazini?? Ubaguzi huo naamini hauishii hapo, nimesoma Arusha kiufupi tu nikwambie hata wewe wa babati unaonekana jinga mbele ya wakaskazini wenzio wa Kilimanjaro.
 
kodi analipa ww ama mzungu kweny mlima kaka...alaf mlima sio mali ya mtu nakurekebishaa ni mli ya watanzania...

Pathetic Fools

Msukuma alisemaga bungeni baada ya mbunge wa ccm kuropoka kwamba bora tukose samaki kwa vile yeye katokea jimbo ambalo halina samaki. Nakumbuka alisema,'tumejaaliwa neema tofauti, kuna wenye mbuga za wanyama, milima, kahawa n.k, sisi tumepewa dhahabu na samaki kwa hiyo mnyamaze wote mnaotoka kanda nyingine"

Cha ajabu ndo alikuwa wa kwanza kutetea baada ya serikali kula hela za wakulima wa korosho ambzo hajui zinafananaje hizi ndo akili za kiccm tukiwaendekeza tutakuwa maskini wa kutupwa
 
Pathetic Fools

Msukuma alisemaga bungeni baada ya mbunge wa ccm kuropoka kwamba bora tukose samaki kwa vile yeye katokea jimbo ambalo halina samaki. Nakumbuka alisema,'tumejaaliwa neema tofauti, kuna wenye mbuga za wanyama, milima, kahawa n.k, sisi tumepewa dhahabu na samaki kwa hiyo mnyamaze wote mnaotoka kanda nyingine"

Cha ajabu ndo alikuwa wa kwanza kutetea baada ya serikali kula hela za wakulima wa korosho ambzo hajui zinafananaje hizi ndo akili za kiccm tukiwaendekeza tutakuwa maskini wa kutupwa
huna adabu...elimu yako ndo imekusaidia paka hapo kutoa kauli za dharau..aah jifunze kuzungumza na watu hata sababu ya kukujibu ulichoandika sioni...
 
Mkuu Umegusa Kila Angle.. Wacha Niongezee Kidogo..
Watu wa Kaskazini tumebarikiwa sana ila sasa Naona tunaingiza ubaguzi Mkubwa sana kwa wa Tanzania wenzetu, Wakaskazini wanaweza Kuoana wao kwa wao na wasiliteane hitilafu ila wacha waoane na Makabila Mengine..
Kwa Mfano mimi siwezi kudate na Demu ambaye sio Mkaskazini.. yaani sijui namwonaje yaani Nakuwa simthamini..Tofauti na Mkaskazini mabaye namwona kama Ndugu na Namthamini na Kumpenda Automaticaly!

Mkuu, in nature watu wa Kaskazini wako Smart sana Kichwani hata kama hajaingia Darasani.. ni watu wanaojiamini sana Kiasili..Watu wa Kaskazini ni watu wanaoamini wana Species nzuri saana, Kuna MWandishi mmoja Mkenya Simkumbuki Jina aliwahi Kusema Watu wa Kaskazini ni Watu wenye Muonekano Mzuri wa Sura Kuliko wote Tanzania!

Pia Naiona Singida ikianza kuwa na Ukaribu na sisi, kwa Maana saivi kumtofautisha Msinginda hasa Mdada na Wadada wengine wa Kikaskazini ni Ngumu saana!

Tuipende Kaskazini Yetu!

Natokea Babati!
Dhambi ya ubaguzi hua haiishi, wewe mbabati hata mimi ngosha hua nakuona kama vijamaa flani hivi vya .... Hata kibongo bongo yakitajwa makab.l. sidhani kama una influence yeyote kibiashara, kielimu, ufugaji, elimu yani ki_ kitu chochote. Samahani lakini mkuu.
 
Dhambi ya ubaguzi hua haiishi, wewe mbabati hata mimi ngosha hua nakuona kama vijamaa flani hivi vya .... Hata kibongo bongo yakitajwa makab.l. sidhani kama una influence yeyote kibiashara, kielimu, ufugaji, elimu yani ki_ kitu chochote. Samahani lakini mkuu.
Hahahaa Mkuu Hata Maandishi yako yanaonesha wewe ni Mtu wa aina Gani
 
Wasukuma ndio watu pekee wanao weza mthamini mtu yeyote pasipo kuzingatia kabila lake, kanda yake au chochote kile. Ukibisha njoo huku kwetu utaona. Unasema hauwezi kudate mwanamke mbali na mkaskazini?? Ubaguzi huo naamini hauishii hapo, nimesoma Arusha kiufupi tu nikwambie hata wewe wa babati unaonekana jinga mbele ya wakaskazini wenzio wa Kilimanjaro.
Wa Kaskazini hatujawahi Kudharauliana kitu cha Kwanza Mkuu, Note-- Mangosha ndio tunawaona wa Kuja tu
 
Back
Top Bottom