Nashukuru mtoa Mada kwa kuisifia Iringa. Kwa nyongeza ni kuwa; Iringa ni hub ya UTALII kwa nyanda za juu kusini ambapo kuna vivutio vingi vya UTALII hasa ikiwemo historian ya chifu mkwawa vs wajerumani. Mwezi Juni mwaka huu mkoa umezindua makumbusho ya kiutamaduni ya mkoa(Iringa Cultural Museum)
Pili kwa wageni mnaokuja Iringa kuna kituo cha kutolea taarifa za utalii kipo kwenye garden ya Manispaa karibu na posta. Hapo unaweza kujua mengi zaidi kuhusu Iringa.
kwa fursa nyingi za UTALII zilizopo tunahamasisha vijana kuzitumia fursa hizo mnakaribishwaà.