Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hivi ni kweli kuwa Iringa mbwa huwa hawagongwi na magari kama kwingineko au ni usafi tu wa wana Iringa hivyo huwa mnawahi kuondoa mizoga barabarani?
 
Kwa kweli iringa sitapasahau. My favourite town.mara ya kwanza ilikua 79 nilipita na mdingi pale ni kakatwa kuingia kwenye bus la railway.sijui dingi hakulipa tkt sielewi. Nikapitishwa dirishani,82 nilifika kwa mjomba pale mkwawa chuoni nikiwa mdogo kabisa.then nikapita tena 88 nikielekea Singida,92 nikapita tena nikienda Mbeya. Hapo bado mdogo ndo teenager age. nikapita ya mwisho 93-94.halafu basi king kross la Boda mtera halikutokea , sijui lilikwama wapi.tumekaa siku 2 pale stand.ndio shala wambe akatukodisha bus tufike mtera. Siku 2 hizo ilikua ni kubwia ulanzi kwa kwenda mberee.nilikua na 1700 enzi hizo iliisha.hadi nauli nililipa ya kuunga unga.

Dah, mkuu unakumbukumbu balaa, Shala wambe hili basi liliunguaga jamaa nahisi hakukatia bima, ndo likapoteaga hadi leo. King cross amesumbua sana ile barabara Iringa Dodoma pamoja na Urafiki na Bembeleza mwana, sema walivyoweka lami tu hata sijui yaliendaga wapi yale mangarangala maana ilikuwa ukiingi msafi ila ukitoka utafikiri ulikuwa ndani ya mashine ya kutengenezea Cement.
 
Sijafika iringa.nimetembea Tanzania yote nimeacha mikoa minne iringa ikiwemo,Na kama unayoyasema NI sahihi basi watanzania hawapaswi kuishi diaspora NI heri warudi nyumba ni wafanye mambo nikiwemo Mimi mwenyewe.
Nimebakiza mikoa miwili tu mkuu, I hope this year nitaimalizia!
 
Hata Dibo mwenyewe kapapenda nae pamempenda! Dar vurugu sana! Vipi uwanja wetu wa Nduli kuna traffic ya kutosha ya kujia ndege!
 
umeanza vizuri umeharibu kusifia hii serikali.anyway watani zangu nyie nakumbuka ulanzi na figiri kule tosa na lupalama.was good indeed isee
 
Naipenda Iringa, ndiyo mji mzuri na niupendao kuliko yote Tanzania, umesahau jiwe la Gangilonga nilishapanda mara nyingi tu hadi juu!

One love kwa masela wote pale Shooters downtown tulikuwa tunacheza billiards (polltables) na kushushia na bia bariiidi!

Long live Iringa, my home of Choice, Nitarudi Iringa Mungu akipenda!


1280px-Iringa.JPG

Labda ulienda kutembea tu iringa hainaga watu wapuuzi wa type yako...
 
umeanza vizuri umeharibu kusifia hii serikali.anyway watani zangu nyie nakumbuka ulanzi na figiri kule tosa na lupalama.was good indeed isee
Hatari, utakuwa umesoma Tosa boys,
Ulanzi msimu huu kidogo unasuasua, si unajua mvua zimegoma,
BTW, sio mbaya kutoa credit panapohitajika.. Hii barabara ya Iringa-Mafinga nadhani wapiga dili hawakuifikia, imekaa poa sana,
 
100%
Hatari, utakuwa umesoma Tosa boys,
Ulanzi msimu huu kidogo unasuasua, si unajua mvua zimegoma,
BTW, sio mbaya kutoa credit panapohitajika.. Hii barabara ya Iringa-Mafinga nadhani wapiga dili hawakuifikia, imekaa poa sana,
 
hujaleta picha za mfundi kule, Luna lodge moja matata sana huwezi amin kama upon l tz
 
View attachment 426357
Karibuni iringa jamani, mlioko diaspora rudini tujenge nchi sasa, ni dhahiri unachokipata diaspora utakipata hapa Tz katika miji kama Iringa na miji mingine japo utahitajika kijibidisha kiasi.
God bless Tanzania.
Kwa hali ilivyongumu watu wanataka kurudi diaspora we unawaambia waliopo diaspora warudi bongo
 
daah umenikumbusha mbali sana mkuu enzi hizo tukiwa watoto tulikuwa tunatoka kwetu frelimo kwenda kula koni kwa tako....it was soo funny!!
Heheheeee tako dogo mitaa ya posta na tako kubwa mitaa ya kihesa. Natamani enzi zile zirudi
 
Back
Top Bottom