Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Ruaha Catholic University RUCU-Iringa

upload_2016-9-14_9-47-34.jpeg
 
Umegusa tu juu juu huna elimu ya kutosha kuhusiana na mkoa huo andaa utafiti wa kutosha wazo lako ni zuri Ila umekurupuka umeacha vitu vingi sana hv km unataka kumuelezea muekezaji anaetaka kuwekeza huko utamuelezea namna hii!! Vp kuhusu watu wake na tabia zao, Geography ya mkoa na vingine vingi
 
...kumbe kupo vizuri vizuri!sasa hawa wanyalu wagoloko goloko wanatokea wapi?
 
Kuna mtu maarufu anaitwa manati hajazungumziwa humu, nikiipata audio moja inayomzungumzia nitaileta
 
Mitaa flani ya sabasaba hapa jirani zamani palikua na mgahawa mmoja maarufu wa Tako. tumepiga sana chai na cake hapa

upload_2016-9-14_10-30-26.jpeg
 
Umegusa tu juu juu huna elimu ya kutosha kuhusiana na mkoa huo andaa utafiti wa kutosha wazo lako ni zuri Ila umekurupuka umeacha vitu vingi sana hv km unataka kumuelezea muekezaji anaetaka kuwekeza huko utamuelezea namna hii!! Vp kuhusu watu wake na tabia zao, Geography ya mkoa na vingine vingi
Muungwana huongezea nyama kwenye mapungufu sio kuanza kuponda,kwa kweli namsifu mtoa uzi hata kwa picha alizoziweka tofauti na wewe uliyekaa kimya.Kwangi mimi ambaye sijafika imenisaidia kuona taswira fulani kama eneo ambalo liko livable.Hivyo vilivyosahaulika tujuze mkuu badala ya kumkashifu
 
Ila kuna baadhi ya maeneo ya frelimo na mwembe togwa mmmh ni uswahilini kinouma bas tu
 
Muungwana huongezea nyama kwenye mapungufu sio kuanza kuponda,kwa kweli namsifu mtoa uzi hata kwa picha alizoziweka tofauti na wewe uliyekaa kimya.Kwangi mimi ambaye sijafika imenisaidia kuona taswira fulani kama eneo ambalo liko livable.Hivyo vilivyosahaulika tujuze mkuu badala ya kumkashifu
Shukrani mkuu, umemjibu kwa weledi kuliko ambavyo ningeweza.
 
Umegusa tu juu juu huna elimu ya kutosha kuhusiana na mkoa huo andaa utafiti wa kutosha wazo lako ni zuri Ila umekurupuka umeacha vitu vingi sana hv km unataka kumuelezea muekezaji anaetaka kuwekeza huko utamuelezea namna hii!! Vp kuhusu watu wake na tabia zao, Geography ya mkoa na vingine vingi
Mkuu hakuna namna nyingine ya kunirekebisha? Really?
 
Nashukuru mkuu barbosa, yapo mengi ya kujivunia kuhusu iringa, binafsi nikizeeka nitarudi iringa,
To me This is the best town in Tz.
Picha zangu haziko vizuri ila kama unazo tuletee, ni faraja sana kuona picha za mji wa iringa.
ngoja nitulie ntaleta picha za iringa hasa za makumbusho ya mkwawa..isimila na ruaha. karibun iringaaaaaaaaa
 
Iringa ni kuzuri kupita Mbeya
Siku napigiwa simu kwamba nimehamishwa Iringa kwenda Mbeya nilitamani kulia..nilikaa 4 yrs Iringa na ckupachoka...Mbeya miez 9 tu pakanikifu bahati nzuri nikahamishwa kwenda mkoa mwingine...ila Iringa ntarudi tu aisee maana ni miongoni mwa mikoa niliyoishi nikaipenda..1. Arusha, 2. Morogoro 3.Mwanza na 4.Iringa yenyewe
 
Back
Top Bottom