mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,986
- 9,319
Kwema wakuu, kwa walio maeneo ya Rombo tarakea maeneo ya huku mpakani kuna ndege ndogo aina ya Cessna grand caravan naona inazunguka tu kuanzia asubuhi ya leo.sasa sijui inafanya patrol au inakuaje. Naona inazunguka maeneo ya msitu wa Rongai na kurudi tena Kenya kwa sababu hapa tupo mpakani.