Hii nchi ngumu sana

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,853
Reaction score
101,117
Hii nchi ngumu sana!
Tanganyika ukitaka kuiona basi ni hapo TAMISEMI - ila sasa tumeletewa DC huyu Mohamed Hasan Moyo ambaye kwa mujibu wa taarifa ni mzanzibari!
Isitoshe kumbe ni baba watoto wa Wanu na ndo mume wa kwanza - Mchengerwa ni mume namba mbili! Yaani mmekosa nchi nzima mtu wa kumweka DC hapo?
Ama kweli wanaona Tanganyika ni kiosk chao cha Kizimkazi!
Nikiwaambia #SamiaMustGo muwe mmanielewa!
#TutaelewanaTu
 

Attachments

  • 20260621_223746.jpg
    344.2 KB · Views: 6
Labda ungesema ni kifungu gani cha katiba kimekiukwa kwa yeye kuteuliwa ukuu wa wilaya. Pia kama hangekuwa na sifa za kuteuliwa hoja yako ingekuwa na mashiko. Vinginevyo ulichoandika ni upuuzi mtupu.
 
Labda ungesema ni kifungu gani cha katiba kimekiukwa kwa yeye kuteuliwa ukuu wa wilaya. Pia kama hangekuwa na sifa za kuteuliwa hoja yako ingekuwa na mashiko. Vinginevyo ulichoandika ni upuuzi mtupu.
Wewe mwanaume mwenye jina la kike sijui ni shoga tu huoni tatizo la nchi yenye watu zaidi 60milion halafu familia moja inajiteulia tu watumishi wa umma, familia moja pekee inafaidi keki ya nchi?
 
Labda ungesema ni kifungu gani cha katiba kimekiukwa kwa yeye kuteuliwa ukuu wa wilaya. Pia kama hangekuwa na sifa za kuteuliwa hoja yako ingekuwa na mashiko. Vinginevyo ulichoandika ni upuuzi mtupu.
Watu kama nyinyi mlipaswa muwe stone age sio muwe kwenye dunia ya sasa
 
Labda hawawezi kufanya kazi nyingine zaidi ya siasa za vyeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…