Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.
Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?
Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?
Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.