Hii nchi kuna watu itawashinda, Vifurushi vya Internet vimepandishwa kimya kimya

IMG_7537.png

Tigo wamenifutia bundle za siku bila 3,000 siwezi unga bando
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Asilimia 80% ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali,kwakuwa nchi zinazoendelea zinatengeneza Sera ambazo hazina tija (uncertainty policies) kwaajili ya kufurahishana walioshika hatamu, wanasiasa wanatengeneza Sera ili wafanye siasa 'they make ineffective policies to make politics:
 
Kila waziri mpya akija kwenye hii wizara Jambo la kwanza Bei ya vifurushi inapaa.
What do they want us to THINK??
Aliingia Lile ndugu Bei ikapaa, naye huyu bbei imepaa.
Kuna kitu sio bure
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Ukiona mitandao yote inapandisha bei za vifurushi kwa siku moja ujue sio takwa lao ni takwa la serikali.
 
Yes.....tususie kutumia internet muda wa wiki ama zaidi wapate bonge la hasara, na hapo hapo serikali ikoswe kodi kupitia mitandao. Hii ndio dawa halisi kamanda
Kwa kiwango cha unafiki cha Wabongo huwezi nishauri kitu eyote kuhusu kukacha kutumia Net!
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Eti walisema Tanzania ndio nchi yenye gharama nafuu za bando kuliko nchi yeyote Afrika
 
Wapandishe zaidi, maofisini watu hawafanyi kazi, hawahudumii wananchi ipasavyo, wapo busy kuangalia video za Mayombi
Tatizo la nchi hii watu hawajagundua tuu, ni kuwa na kundi kubwa la wajinga kama huyu Naipendatz na wengine wa aina yake.
Hivi unajua kuwa wafanyabiashara wengi wa kati na wadogo sasa wanatumia zaidi biashara zao mitandao?
Kwa akili zako yaonyesha hilo hulijui au uccm imekujaa maana uccm ndio kitovu cha ujinga.
 
Tatizo la nchi hii watu hawajagundua tuu, ni kuwa na kundi kubwa la wajinga kama huyu Naipendatz na wengine wa aina yake.
Hivi unajua kuwa wafanyabiashara wengi wa kati na wadogo sasa wanatumia zaidi biashara zao mitandao?
Kwa akili zako yaonyesha hilo hulijui au uccm imekujaa maana uccm ndio kitovu cha ujinga.
Wafanyabiashara wanaweza kusajiliwa na wakatengenezewa vifurushi vyao maalum, mbona inawezekana kwa wanafunzi na baadhi ya taasisi? Mitandao holela ni janga kubwa kwa wanafunzi/teenagers na wafanyakazi especially kwenye nchi ambazo control ya hiyo mitandao ni ndogo! Kuna nchi serious zimeanza kushughulika na hilo, under 18 wameanza kuwa limited kwenye masaa kwa siku wanayoweza kuaccess baadhi ya mitandao kama tiktok, instagram n.k.!! Madhara yanayoweza kuletwa na hiyo mitandao holela ni makubwa kuliko hata hizo faida zinazopatikana kwenye hizo online bus..
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.

3D7F22E3-D8D5-47BD-BF43-DE80DEF70151.jpeg
 
Huu ndio ukweli mchungu sana: Watanzania hata wakiuziwa MB 1 ya internet kwa elfu kumi hakuna atakayegoma.
Ikizidi sana watapiga kelele mitandaoni basi.
Misumari mingi inayogusa maisha yao imepigwa kwenye ugoko wamevumilia sembuse hili.
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Tozo za kimya kimya kukwepa kelele..

Mi-5 mingine tena!
 
Kuna mambo lazima tuseme ukweli, hata kama ni ukata lakini si kwa hali hii. Mitandao yote ya simu wamepandisha gharama za bando za internet bila hata kujulisha wateja wake, nini kimetokea ikiwa ni miezi 3 tu baada ya vifurushi kupandishwa wananchi wakapiga kelele sana vikashushwa chini, leo kimya kimya vimepamdishwa tena.

Kwamba sasa nchi yetu imekosa udhibiti sasa mitandao inajipandishia tuu au serikali imeamua kuwahujumu wananchi wake kimya kimya? Kwanini mbona awali walitoa taarifa kwa wateja wao lakini leo wamepandisha kimya kimya?

Wanasheria tunaweza kuungana katika hili kuondoa huu uonevu na udhalimu. Ni lazima tujue nini kimesababisha hili jambo? Mitandao ya simu tutaiburuza mahakamani.
Kwani Ndungulile anasemaje?
 
Back
Top Bottom