Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,252
- 24,089
Akipata kura hata 3 tu basi hii Nchi Ina wajinga wengi kama uyoga.
Au Ili uwe jasusi ni lazima uwe na vigezo Gani?
Au Ili uwe jasusi ni lazima uwe na vigezo Gani?
Ndo wajinga wenyewe haoMbona izo tatu kashapata uhakika moja yake mwenyewe ya pili ya makamu wake ya tatu waziri mkuu
Ogopa matapeliAkipata kura hata 3 tu basi hii Nchi Ina wajinga wengi kama uyoga.
Au Ili uwe jasusi ni lazima uwe na vigezo Gani?
Labda Chasusi hapo sawa😊😀Akipata kura hata 3 tu basi hii Nchi Ina wajinga wengi kama uyoga.
Au Ili uwe jasusi ni lazima uwe na vigezo Gani?
Broo Mshana Jr unakumbuka kisa cha mtumishi Obadia na mfalme ahabu wa Israeli [Bibilia kitabu cha 2 Mambo ya nyakati 21:20]L
Labda Chasusi hapo sawa😊😀
Huyu jamaa ni moja ya watu wajinga kupindukia. Kauli ya kusema mbowe ndo Alfa na Omega maana yake Mbowe anauwezo wakuja kwakwe akamfanya anachotaka yeye bila bughuza yoyote Ile!Yeriko nimiongoni mwa vijana wanao amini katika mtu na sio Sera na mifumo
Yupo tayari kufa kwa sababu ya boss wake.
Yeriko amekuwa wa hovyo mara baada ya mbowe kupata mpinzani wa kweli ndugu Tundu lissu
Uko sawa lakini kwa huyu jamaa hapana labda akili za kitapeli.Tanzania kuna watu wenye akili lakini tatizo ni njaa management. Kichwa kinaendeshwa na tumbo badala ya akili
Unaambiwa urusi anaijua nje ndani hapo ndo unabaki unashangaa wanao nunua vitabu vyakeJasusi kivipi huyo mamluki anakuaje jasusi?
Au Cha ususi yaani mtu anayesuka.L
Labda Chasusi hapo sawa😊😀
Hata mjinga anaweza kugundua anatumikaNyie makamanda uchwara mmeshaanza. Alipokuwa kwenu mlinunua 'vitabu' vyake vyote na mlimpamba hadi akapambika. Sasa leo kaamua kutoka huko mnaanza kumn'gon'ga. Upuuzi mtupu.😎
Cc: Mimi Wewe Yule