Hii namba inamsumbua mke wangu

Hii namba inamsumbua mke wangu

Anasumbuliwa kivipi!!?
anatongozwa ama!!?
mwanamke kutongozwa ni sawa na mfuko na pesa ni marafiki.....
 
Yaan Jf hata ukiwa umefiwa ukiingia huku huzuni yote inaisha kabisa maana sio kwa namna hii duuh
Hongera sana kaka Melo kwa kutuandalia mfariji wa namna hii
 
Mkuu mbona hiyo ni namba yangu mpya nilisajili juzi kwa ajili ya bando la Mbs imekuwaje inamsumbua mke wako,🤪🤦 nalog off
 
Habari wakuu...

Siyo jambo la kawaida lakini imenibidi kuianika hiyo namba kwasababu huyo jamaa anamsumbua sana mke wangu (kwenye simu)

Ukiona tu chatting zake unagundua wazi kabisa ni mtu asiye na uelewa sana hata nilipompigia simu nikimsikiliza lafudhi yake anaonekana ni wa kawaida ila anasumbua sana

Wataalamu mpo wezi mpo matapeli mpo namba hiyo kazi kwenu!
Fafanua vizuri ana msumbuaje? ana tongozwa au anadaiwa hela alizo kopa? Nakushauri achana na huyo mtu deal na mkeo au Tuma namba ya shemeji yetu tuongee nae namna zuri ya ku avoid kusumbuliwa, Pia tumia hiki kitabu kina mikao ya kupekechuana kama 100 hivi, ukitaka na video za kitanzania na za nchi nyengine sema tu........
 


Ni huyohuyo anayetongoza mkewe, halafu eti anakuja kuomba ushauri hapa. Anataka kusumbua "mahakama" tu.

Kama ni kweli kwanini asiiweke namba ya huyo mtuhumiwa wake kwa ukamilifu??
 
Ni huyohuyo anayetongoza mkewe, halafu eti anakuja kuomba ushauri hapa. Anataka kusumbua "mahakama" tu.

Kama ni kweli kwanini asiiweke namba ya huyo mtuhumiwa wake kwa ukamilifu??
Akiweka namba mtamshambulia mtuhumiwa
 
Kwa hiyo mke wako ameshindwa ku block namba?
Si ndo hapo sasa...watakuwa wanamchezea jamaa makida makida...shenzy yani unikoseshe amani na familia yangu😅😅😅weweeee labda sio mimi kha..
 
Nakubali nakubali ila sasa mnamalizaje? Kimya kimya wenyewe 🧐🤔 mnatoa marinda no mnaua no mnafanyaje


Yaani nmemaanisha Kama Kuna kidume kinakuzengea huwa tunamaliza wenyewe .either ukiambie kikukome au ukijibu harsh kijikatae...maana utasema kwa watu wangap? Maana mwanamke kutongozwa ni kitu kawaida kawaida
 
Back
Top Bottom