secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,839
- 8,647
Anasumbuliwa kivipi!!?
anatongozwa ama!!?
mwanamke kutongozwa ni sawa na mfuko na pesa ni marafiki.....
anatongozwa ama!!?
mwanamke kutongozwa ni sawa na mfuko na pesa ni marafiki.....
Kwa hiyo mke wako ameshindwa ku block namba?
Ni Wewe mwenyewe ndiye unayemtongoza mkeo kupitia hiyo namba, usitufanye mabwege.



jamaniMhh,kweli JF kuna mambo,this shall be as hard as taking diamond out fo a stone...
Aaaiiisssseeee! Sikuwaza kabsa.Msimu wa Uchaguzi huu
Asije akawa anataka kumchafua KISIASA mwenzie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua vizuri ana msumbuaje? ana tongozwa au anadaiwa hela alizo kopa? Nakushauri achana na huyo mtu deal na mkeo au Tuma namba ya shemeji yetu tuongee nae namna zuri ya ku avoid kusumbuliwa, Pia tumia hiki kitabu kina mikao ya kupekechuana kama 100 hivi, ukitaka na video za kitanzania na za nchi nyengine sema tu........Habari wakuu...
Siyo jambo la kawaida lakini imenibidi kuianika hiyo namba kwasababu huyo jamaa anamsumbua sana mke wangu (kwenye simu)
Ukiona tu chatting zake unagundua wazi kabisa ni mtu asiye na uelewa sana hata nilipompigia simu nikimsikiliza lafudhi yake anaonekana ni wa kawaida ila anasumbua sana
Wataalamu mpo wezi mpo matapeli mpo namba hiyo kazi kwenu!
jamani
Akiweka namba mtamshambulia mtuhumiwaNi huyohuyo anayetongoza mkewe, halafu eti anakuja kuomba ushauri hapa. Anataka kusumbua "mahakama" tu.
Kama ni kweli kwanini asiiweke namba ya huyo mtuhumiwa wake kwa ukamilifu??
Akiweka namba mtamshambulia mtuhumiwa
Si ndo hapo sasa...watakuwa wanamchezea jamaa makida makida...shenzy yani unikoseshe amani na familia yangu😅😅😅weweeee labda sio mimi kha..Kwa hiyo mke wako ameshindwa ku block namba?
Mods wame edit namba. 🤣 🤣Mlioangalia jamaa anaitwa nani🤔
Ni utoto..hakunaga mwananke anayejitambua akaanza drama za namna hiyo..mostly ni mtoto au anakuandaa kisaikolojia kufanya tukio...ofcourse tunapenda attentionAisee, kwa kujihami hamjambo!
Nakubali nakubali ila sasa mnamalizaje? Kimya kimya wenyewe 🧐🤔 mnatoa marinda no mnaua no mnafanyaje