Village fooler
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 722
- 1,463
Inamaana wewe pamoja na mke wako mmeshindwa kabisa kumblock huyo anaemsumbua mpaka umekuja kuomba ushaur Jf kwel??? We utakua hujaoa wewe
Kweli kabisa aisee hadi aibu kama ni mimi ndie niliye-post huu ugoro! Mabaharia wanamwomba aweke hadharani namba ya nkewe! Vijana sijui wanakwama wapi?Hata kama ungekuwa wewe ungeitelekeza mkuu. Mabaharia wamemkalia kooni wanampa makwenzi si kawaida. Atajuta kuanzisha hii sredi. Awaombe tu mods waifute [emoji16][emoji16][emoji16]