Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,212
- 2,808
Habari wakuu,
Siyo jambo la kawaida lakini imenibidi kuianika hii namba (Namba 0623600...) ila kwasababu huyo jamaa anamsumbua sana mke wangu (kwenye simu)
Ukiona tu chatting zake unagundua wazi kabisa ni mtu asiye na uelewa sana hata nilipompigia simu nikimsikiliza lafudhi yake anaonekana ni wa kawaida ila anasumbua sana.
Wataalamu mpo wezi mpo matapeli mpo namba hiyo kazi kwenu!
Siyo jambo la kawaida lakini imenibidi kuianika hii namba (Namba 0623600...) ila kwasababu huyo jamaa anamsumbua sana mke wangu (kwenye simu)
Ukiona tu chatting zake unagundua wazi kabisa ni mtu asiye na uelewa sana hata nilipompigia simu nikimsikiliza lafudhi yake anaonekana ni wa kawaida ila anasumbua sana.
Wataalamu mpo wezi mpo matapeli mpo namba hiyo kazi kwenu!