Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Mkuu sijajua kama.inawezekana futa tuHabari wakuu...
Siyo jambo la kawaida lakini imenibidi kuianika hiyo namba kwasababu huyo jamaa anamsumbua sana mke wangu (kwenye simu)
Ukiona tu chatting zake unagundua wazi kabisa ni mtu asiye na uelewa sana hata nilipompigia simu nikimsikiliza lafudhi yake anaonekana ni wa kawaida ila anasumbua sana
Wataalamu mpo wezi mpo matapeli mpo namba hiyo kazi kwenu!
Hii post utaongeza idadi ya mume WENZAO.KWENYE ndoayakoooooo
Humuu wamejaaaa mabaradhurii mwanzoo.mwishoooo muulizee......alieomba msaada hahahaaa
Walijifanya watu mabintihumu WAKAPEWA namba......LEOO analiaaa
Kwioookwiioo
