Hii mimba ya kwangu au nimepigwa?

Hii mimba ya kwangu au nimepigwa?

Kama takwimu ulizoweka ni kweli, mimba sio yako, mana umekutananae tar 23, siku ya 24 ya mzunguuko, hapo ilikua bado siku tano aingie hedh nyingine.

Mngekutana kati ya tar 9 hadi 18, in between chochote ungekua mhusika.
100% sahihi, mimba siyo yake. Yaani siku 3 baada ya hiyo shughuli mtu anakwenda kupima mimba inakuwa positive, hilo peke yake siyo sawa!
 
Habari,

Msaada wenu wanajukwaa

Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.

Hii mimba ni yangu?

Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
Kwa 100% umepigwa.
Kataa hiyo mimba mapema kabisa.
 
Kitanda hakizai haramu,leo mimbaa(ujauzito),ikikuwa nunua vifaa vya kujifungulia...inshallaaaah mtoto akizaliwa salama,mpee jina...mleee kwa upendo.hujui atakustri nani baadae.angalizo punguza ngono zembeee
 
Habari,

Msaada wenu wanajukwaa

Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.

Hii mimba ni yangu?

Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
Aha ha ha umeshapigwa za uso hapo. Je.mwezi wa 3 ulisex.naye mwisho tarehe ngapi?
 
Umenikumbusha kuna mpangaji alihamia kipindi naanza maisha, alikua anakuja na kanga moja kuja kuomba chumvi na kuangalia TV Ghetto, nilitaka nipige ila akili ilizidi hisia, na siku si nyingi nikaanza kumuona mimba inakua na alijazwa na msela aisie na mbele wala nyuma. Ile Mimba ningebebeshwa ningekuwa na tamaa.
 
wakati unamsaula viwalo na kula raha wala hukutushirikisha ila kwenye matatizo unaomba msaada wa wanajukwaa, lea mimba acha kuongeza idadi ya single mama.
 
Back
Top Bottom