GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,361
- 5,626
Bado na wewe uta lambwa sio mda.Kimekulambaaa! Lea mimba baba kija, hatutaki singo mama mjini, hawa waliopo wametosha.
Bado na wewe uta lambwa sio mda.Kimekulambaaa! Lea mimba baba kija, hatutaki singo mama mjini, hawa waliopo wametosha.
Nenda clinic utaambiwa hiyo mimba ina umri gani. Maana naona kama uliwekewa tomato kwenye pad.Habari,
Msaada wenu wanajukwaa
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.
Hii mimba ni yangu?
Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
Wee em sema kwelii?!Bado na wewe uta lambwa sio mda.
Kweli tena. Au tayari ni single mother.Wee em sema kwelii?!
Nitafutie bas wa kunifanya niwe singo mama.Kweli tena. Au tayari ni single mother.
Hivi dna unaweza kupima kabla mtoto hajazaliwa?Tulia uitwe "Baba naniliu" wewe...
Kelele za nini na ushaambiwa mimba ni ya kwako...
Kwa hapo VAR ni kupima DNA..
We ni kilaza unaejiona unajua, hakuna kipimo cha mimba cha kawaida kita detect mimba ndani ya siku tatu,Hiyo mimba ya kwako kabisa Boss
Wanaosema umepigwa, waulize walikuwa na pass gani ya Biology kidato cha nne?
Hedhi tar 30 March +5+12+7 =
Hivi vijana wa kizazi hiki mnajiaminije kwenda PEKUPEKU kwa mtu ambaye sio mke wako? Hamuongopi UKIMWI, MIMBA, Hepatitis B nk
Sinaga muandiko wa hivyo mkuu😀 Reminiscent
Hebu weka picha ya mbususu yake nitakuambia kama ni yako au la?Habari,
Msaada wenu wanajukwaa
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.
Hii mimba ni yangu?
Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?