Hii mimba ya kwangu au nimepigwa?

Hii mimba ya kwangu au nimepigwa?

Ndgu hapo ukweli utakuwa umepgwa maana mimba haiwezi pimwa kwa sku tatu
 
Ni ngumu kwa kujiridhisha kwa kuomba msaaada hapa jf... kuna vingi ambavyo havitokuwa wazi hapa ili kusaidia wadau watoe majibu sahihi zaidi.
Tunarudi pale pale mimba zingine mnajitakia vijana..
Kama kipi hakiko wazi
 
Habari,
Msaada wenu wanajukwaa
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.
Hii mimba ni yangu?
Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
Tulia uitwe "Baba naniliu" wewe...
Kelele za nini na ushaambiwa mimba ni ya kwako...
Kwa hapo VAR ni kupima DNA..
 
Tumia kinga kuepusha mimba zisizotarajiwa... Ungetumia usingekuwa na wasiwasi

Anyway jiandae kulea tuu akiwa wa kike utapata ng'ombe
Sasa unatomber na kondom sii bora upige nyeto tuu ya mlenda vuguvugu
 

Attachments

  • FB_IMG_1710664015978.jpg
    FB_IMG_1710664015978.jpg
    13.4 KB · Views: 17
Kama kipi hakiko wazi
Ushauri wangu mkubwa ni kwenda hospitali au kliniki kufanya vipimo vya kitaalamu ili kupata majibu sahihi zaidi.
Kumbuka, majibu unayoyapata humu jukwaani ni ya kusaidia kuelewa kwa ujumla, lakini si ya kitaalamu kwa 100%.
 
N mimba yako hy, ili kumkomoa mwambie akupe mimba yako ukae nayo Mwnyw 😎
 
Even being a father of socialization is enough not necessarily to be biological father. Have the child, nurture it then God will bless you.
 
Wakati unamuweka doggy style mtoto wa watu sisi tulikuwepo. Hiyo mimba ni yako.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Samahani kaka. Muite aliye beba Huo ujauzito tumuulize mwenyewe huu ujasiri ameutoa wapi. Huyu anaweza kutusaidia kumtoa Shetani CCM
 
Habari,
Msaada wenu wanajukwaa
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.
Hii mimba ni yangu?
Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni 30 March,,,,je ndiyo siku damu ilipoanza kutoka au ndiyo ilikata?
 
Back
Top Bottom