Hii mimba itakuwa ya nani?

Hii mimba itakuwa ya nani?

Habari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni

Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.

Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2

Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?

Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁
Acha upumbavu wako wewe..Et "Rafiki yangu" wakati ni wewe mwenyewe. Ngono haina tuzo, Mpumbavu mkubwa wewe!
 
😂 😂 😂 Hii ni Jf sio insta kama hujaelewa nambie nikueleweshe
NB:ngono Ina tuzo nayo ni moja tu
ambayo ni mimba
 
Habari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni

Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.

Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2

Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?

Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁
Sema ni weww tu
 
Inategemea kijana yupi mwenye helaa kati yaooo..ila B ndo mwenye mtoto mimba apewee yeyotee
 
Habari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni

Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.

Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2

Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?

Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁
Kwanza huu ni mzunguko wa siku 28. So Mimba iliingia tarehe 20. Ambayo ilikuwa siku 15. So kuna possibility kubwa ovulation ilitokea siku ya 14 ambayo ilikuwa tarehe 19. Tarehe 16 ilikuwa siku ya 10 na aliendelea hadi siku 11 ambayo possible ovulation haikutokea. Na kama ingekuwa ilitokea p2 ingefanya kazi. So mtoto ni wa kijana B aliyekutana tarehe 20.
 
Aise unajua kukigawa icho kidudu chako!
Kwaiyo unataka Kujua ni ya nani?
Fanya hivi waite wote A na B waulize ni ya nani yaani waeleze ulivyotueleza,
RAHA ULE MWENYEWE HUKO UJE USUMBUE WATU HUKU,ulivyokuwa unatanua miguu SI tulikuwepo?
 
Back
Top Bottom