Hii mikataba mibovu tatizo ni UDSM

Hii mikataba mibovu tatizo ni UDSM

Daah upo sahihi sana hata kwenye makundi nikiwasoma vijana wa hicho chuo hawajui kitu kuhusu hii mikataba aisee..
 
Post tena tangazo lako la hizo kazi.

Tunataka tangazo la kazi liwe neutral. Chuo kinacho tambuliwa na serikali. Full stop.
Kwa nini ni post tena wakati nishapost wewe tu hujui kusoma una mawenge na matatizo ya akili kutokana na ligi zenu za vyuo?

Vyuo vinavyotambuliwa na serikali vipo mpaka vyuo vya usekretari, ambavyo havikidhi mahitaji ya kazi za tangazo, hivyo serikali imetoa mfano uelewe kwamba kinachohitajika ni chuo kikuu, kama UDSM.

Tatizo wewe una ligi zenu za vyuo vya bongo, ukishaona UDSM tu unasikia maumivu.

Acha inferiority complex.
 
Kama hujapita SUA Tanzania hii lazima utakuwa kilaza tu...
Wanaume wote tuliopita SUA hebu jipige mara 3hapo kifuani halafu sema "Mimi ni mwanamume"
Daah kwa hiyo na wahasibu wakasome SUA mkuu huko si mambo ya Kilimo kwanza au wameongeza hizi mambo harafu mimi siju maana Vyuo vyetu vingi pana baadhi ya Course hakuna...
 
Sheria ya kazi haibagui vyuo. Je UDSM haipo kwenye Tangazo? Alie post kaona aibu ka delete!!!
Haya baada ya kulalamika. Jengeni hoja. Ni UDSM au siyo UDSM?

Ni kupoteza nguvu na muda kubishana kitu kilicho clear as daylight. Mwombaji awe na Shahada ya Kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Sokoine au Chuo Kikuu chochote kinachotambuliwana Serikali katika mojawapo ya fani zifuatazo.
 
Kwa nini ni post tena wakati nishapost wewe tu hujui kusoma una mawenge na matatizo ya akili kutokana na ligi zenu za vyuo?

Vyuo vinavyotambuliwa na serikali vipo mpaka vyuo vya usekretari, ambavyo havikidhi mahitaji ya kazi za tangazo, hivyo serikali imetoa mfano uelewe kwamba kinachohitajika ni chuo kikuu, kama UDSM.

Tatizo wewe una ligi zenu za vyuo vya bongo, ukishaona UDSM tu unasikia maumivu.

Acha inferiority complex.
Mm Elimu niliyo nayo siyo level uduvi[emoji3][emoji3]
Ume ona aibu uka futa tangazo lako la kazi ulilo lipost mwenyewe.

Haya turudi kwenye mada. Ni kweli udsm ndio mnashikilia ofisi nyeti za nchi au siyo kweli?
 
Ni kupoteza nguvu na muda kubishana kitu kilicho clear as daylight. Mwombaji awe na Shahada ya Kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Sokoine au Chuo Kikuu chochote kinachotambuliwana Serikali katika mojawapo ya fani zifuatazo.
Wewe kwani umesoma chuo gani? Kwa nini unaona serikali kutoa mifano ya vyuo ni tatizo?

Halafu mbona kwenye post yako original umeandika tangazo limetaja UDSM tu, kumbe tangazo limetaja mpaka Mzumbe?
 
Kwa nini ni post tena wakati nishapost wewe tu hujui kusoma una mawenge na matatizo ya akili kutokana na ligi zenu za vyuo?

Vyuo vinavyotambuliwa na serikali vipo mpaka vyuo vya usekretari, ambavyo havikidhi mahitaji ya kazi za tangazo, hivyo serikali imetoa mfano uelewe kwamba kinachohitajika ni chuo kikuu, kama UDSM.

Tatizo wewe una ligi zenu za vyuo vya bongo, ukishaona UDSM tu unasikia maumivu.

Acha inferiority complex.
Mkuu Kilanga unaweza ukawa upo sahihi ila mimi nadhani kwa soko lilivyo wapo watakaopata Elimu Nje ya Nchi kama wanakidhi sidhani kama ni sahihi kusema tuu wanaotakiwa waliomaliza wawe wa Mzumbe tu...
 
Ni kupoteza nguvu na muda kubishana kitu kilicho clear as daylight. Mwombaji awe na Shahada ya Kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Sokoine au Chuo Kikuu chochote kinachotambuliwana Serikali katika mojawapo ya fani zifuatazo.
Hapana. Mna pewa kipaumbele wakati ni wabovu. Kuna wachumi hapa Tz toka vyuo vikuu vya Japan, USA, Canada, Russia nchi bora kabisa. Hicho kiherehere cha kuitaja UDSM kime toka wapi akati juzi tu wameunda ki gari kama troli la watoto[emoji3][emoji3][emoji3]. Kama gari ndio wame unda lile. Je wachumi wao, kichwani kuna madudu gani??
 
Mkuu Kilanga unaweza ukawa upo sahihi ila mimi nadhani kwa soko lilivyo wapo watakaopata Elimu Nje ya Nchi kama wanakidhi sidhani kama ni sahihi kusema tuu wanaotakiwa waliomaliza wawe wa Mzumbe tu...
Kwani wapi wamesema waliomaliza Mzumbe tu?

Mimi nimesoma New York City, katika chuo kinachotambuliwa na serikali ya Tanzania, kama nina degree inayotakiwa, nimefikia vigezo vya ku apply kazi, na apply na kupata kazi.

Tatizo moja hamjui kusoma kwa ufahamu, tatizo la pili wengi wana ligi za vyuo, wakiona chuo kimetolewa mfano tu wanalialia.

Na hiyo tu ni disqualification katika kazi, mtu kama huyo hata ukimpa kazi atakuwa analialia kazini badala ya kufanya kazi.
 
Hapana. Mna pewa kipaumbele wakati ni wabovu. Kuna wachumi hapa Tz toka vyuo vikuu vya Japan, USA, Canada, Russia nchi bora kabisa. Hicho kiherehere cha kuitaja UDSM kime toka wapi akati juzi tu wameunda ki gari kama troli la watoto[emoji3][emoji3][emoji3]. Kama gari ndio wame unda lile. Je wachumi wao, kichwani kuna madudu gani??

Kama wamesoma huko vyuo vinavyotambulika nchi husika na TCU wanavikubali shida ipo wapi? Kuna vyuo havip accredited hata nje ndo unataka TCU wavikubali au upewe kazi wakati umesoma chuo cha mchongo nje?
 
Hapana. Mna pewa kipaumbele wakati ni wabovu. Kuna wachumi hapa Tz toka vyuo vikuu vya Japan, USA, Canada, Russia nchi bora kabisa. Hicho kiherehere cha kuitaja UDSM kime toka wapi akati juzi tu wameunda ki gari kama troli la watoto[emoji3][emoji3][emoji3]. Kama gari ndio wame unda lile. Je wachumi wao, kichwani kuna madudu gani??
Wewe una inferiority complex na UDSM tu, una machungu nayo.

Mimi sijasoma UDSM wala sijaona tatizo UDSM kuwa mfano hapo.
 
Kama wamesoma huko vyuo vinavyotambulika nchi husika na TCU wanavikubali shida ipo wapi? Kuna vyuo havip accredited hata nje ndo unataka TCU wavikubali au upewe kazi wakati umesoma chuo cha mchongo nje?
Huyo jamaa ana shida za kisaikolojia za kukosa ajira na kuwa na inferiority complex na UDSM tu.
 
Wewe kwani umesoma chuo gani? Kwa nini unaona serikali kutoa mifano ya vyuo ni tatizo?

Halafu mbona kwenye post yako original umeandika tangazo limetaja UDSM tu, kumbe tangazo limetaja mpaka Mzumbe?

I think you meant this response kwa mleta uzi.
 
Kama wamesoma huko vyuo vinavyotambulika nchi husika na TCU wanavikubali shida ipo wapi? Kuna vyuo havip accredited hata nje ndo unataka TCU wavikubali au upewe kazi wakati umesoma chuo cha mchongo nje?
Shida yangu. Kwa nn mtajwe UDSM? Hao utumishi wana karatasi na pages za kutaja vyuo vyote duniani?. Ili paswa iwe neutral. Full stop.

Haya tuendelee na mada yetu.
 
Huyo jamaa ana shida za kisaikolojia za kukosa ajira na kuwa na inferiority complex na UDSM tu.
Mm niko mzigoni mwezi 1 baada ya Graduation. Najiamini [emoji3][emoji3]
 
Shida yangu. Kwa nn mtajwe UDSM? Hao utumishi wana karatasi na pages za kutaja vyuo vyote duniani?. Ili paswa iwe neutral. Full stop.

Haya tuendelee na mada yetu.
Unasemaje "mtajwe UDSM" kama mimi ni graduate wa UDSM?

Mimi nimesoma Manchester na New York City. Sijasoma vyuo vya Bongo.

Na sijaona tatizo UDSM kutajwa kama mfano, kwanza ndiyo chuo cha kwanza nchini.

Wewe tatizo lako una inferiority complex tu.
 
Yes, sorry.

Jamaa ni mlalamishi kwa mambo petty mpaka ikiwa hana kazi ninaweza kuelewa kwa nini hana kazi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa nawanyoosha UDSM na Utumishi. Toka kitambo niko job. Huoni hata arguments, siyo za ki uduvi.
 
Back
Top Bottom