Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 14,926
- 20,974
😅😅😅pesa hizi kaka😅😅😅
Ungeenda enda kidogo kiudadavuzi, comment yako ni burudani sana.Watu wanaonyoa nywele zote kichwani sio wa kuwaamini. Tunatiana hasara tu na kutukosesha hela.
Daah wakuu wanazinguaKaribu mbeya ya wanyonge kuna sehemu umeme upo baadhi ya maeneo hamna hii nchi ina mengi ya kujutia kutoka kwa viongozi wetu
Sana hapa nina kazi zimekwama kisa umeme japo Leo wamewahisha kidogoDaah wakuu wanazingua
Unafananisha jiji na halmashauriKama Moshi wanakata sembuse huko
Ulinkafu?