Hii kete walioisukuma CCM ni kama inataka kufanikiwa

Hii kete walioisukuma CCM ni kama inataka kufanikiwa

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,504
Ni kama wamekata maji makusudi ili hii habari itrend zaidi watu wasahahu yaliotokea Oktoba 29, mimi nikishaona habari mbaya mbaya zinapostiwa hadi na TBC kila saa na vyombo vingine machawa vya Tanzania ujue kuna walakini.

Shtukeni huu ni mchongo.

Wametengeneza tatizo halafu baada ya muda mfupi watakuja kulitatua halafu kuna mtu ataonekana shujaa, na vyawa watapewa kichaka kipya cha kumsifia Mungu wao kwa tatizo alilolitatua.
 
Ni kama wamekata maji makusudi ili hii habari itrend zaidi watu wasahahu yaliotokea October 29, mimi nikishaona habari mbaya mbaya zinapostiwa hadi na tbc kila saa na vyombo vingine machawa vya Tanzania ujue kuna walakini.

Shtukeni huu ni mchongo.

Wametengeneza tatizo halafu baada ya mda mfupi watakuja kulitatua halafu kuna mtu ataonekana shujaa, na vyawa watapewa kichaka kipya cha kumsifia Mungu wao kwa tatizo alilolitatua.
Siyo.kwamba ndo wanaongeza hasira
 
Ni kama wamekata maji makusudi ili hii habari itrend zaidi watu wasahahu yaliotokea October 29, mimi nikishaona habari mbaya mbaya zinapostiwa hadi na tbc kila saa na vyombo vingine machawa vya Tanzania ujue kuna walakini.

Shtukeni huu ni mchongo.

Wametengeneza tatizo halafu baada ya mda mfupi watakuja kulitatua halafu kuna mtu ataonekana shujaa, na vyawa watapewa kichaka kipya cha kumsifia Mungu wao kwa tatizo alilolitatua.


Hiyo si kete bali wameshindwa. 64 years of ibdependence mnategemea mawingu kweli? CCM ni hopeless mno na vichwa havina kidney kabisa
 
Sasa hiyo ni akili au matope!
Hawaoni kama ndo inachochea chuki zaidi ya wananchi dhidi ya watawala
Aah nachoka mimi mjukuu wa clemence mwandambo
 
Back
Top Bottom