Hii kete walioisukuma CCM ni kama inataka kufanikiwa

Hii kete walioisukuma CCM ni kama inataka kufanikiwa

2025 rais anapiga ngonjera khs upatikanaji wa maji 🗑️
 
Wakiyapata,hawatawaza mambo mengine?. Au watakuwa wanayatafuta tuuuuu halafu hawayapati kabisa?
watakuwa BIZE kutafuta maji hasa majiji makubwa badala ya kufuatilia mambo mengine .
Mjadala utahamia kuongelea maji badala ya mijadala ya mambo mengine...watu wataongelea kuhusu maji ...maji...maji!
 
watakuwa BIZE kutafuta maji hasa majiji makubwa badala ya kufuatilia mambo mengine .
Mjadala utahamia kuongelea maji badala ya mijadala ya mambo mengine...watu wataongelea kuhusu maji ...maji...maji!
Kwamba masaa 24 yote watu watakuwa bize KUTAFUTA Maji?. Wakati mtu anasubiri foleni ya Maji si anaingia kwenye sosho midia kama humu hivi na kukutana na mijadala mbalimbali ikiwemo hiyo wanayoihofia?. Labda wazime intaneti😀
 
Kwamba masaa 24 yote watu watakuwa bize KUTAFUTA Maji?. Wakati mtu anasubiri foleni ya Maji si anaingia kwenye sosho midia kama humu hivi na kukutana na mijadala mbalimbali ikiwemo hiyo wanayoihofia?. Labda wazime intaneti😀
Mijadala inayoongelewa ,talk of the town..itabadilika ..itahamia kwenye malenga...minza.....mringa..water water badala ya mijadala minginr

topic nyingine zilizozoeleka kujadiliwa sana
1.simba na yanga
2.wasanii..wa bongofleva
 
Mijadala inayoongelewa ,talk of the town..itabadilika ..itahamia kwenye malenga...minza.....mringa..water water badala ya mijadala minginr

topic nyingine zilizozoeleka kujadiliwa sana
1.simba na yanga
2.wasanii..wa bongofleva
This will be effective only if 'THE GUILTY' wakiwa kimya kabisa na hawaonekani kwenye media. Wakionekana au wakisikika tu wanaamsha vilivyolala on the spot😀
 
KWA MAZINGIRA YA SASA GEN Z WAKITANGAZA MAANDAMANO HATA KAMA HAWATAFANYA, VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LAZIMA VIWEKE LOCK -DOWN.

KUWEKA LOCK-DOWN MAANA YAKE NI KUKWAMISHA SHUGHULI NYINGI ZA KIUCHUMI; UTALII UNADORORA ZAIDI, BANDARI KUNASIMAMA, USAFIRI WA ANGANI NA ARDHINI UNADORORA ZAIDI NA MAPATO YA SERIKALI YANAPUNGUA.
 
Kama huo ni mpango kweli na sio tatizo kama wanavyodai, hao watu basi wana roho za kinyama sana. Maji sio huduma ya kuchezea kabisa.
Kama mtu anaweza kuchukua uhai wa ma elfu ya watu kuwakatia maji sio ishu kwake
 
Back
Top Bottom