Hukuwepo wakati wa vita ya Kagera!Ukali wa wanajeshi wetu sijawahi kuuona popote, ina maana wote waliotangulia walikuwa na busara hawajawahi kuvurugwa na yeyote toka tupate uhuru?
Sikuwepo. Iddi Amin atoke wapi tuone wanavyokuwa wakivurugwa.Hukuwepo wakati wa vita ya Kagera!
Kwa jinsi TZ ilivyo usiseme jeshi halijaingizwa siasa. Huoni akina Makamba, Mkuchika, Komba, Lowasa, na wengine akina kikwete,, Kinana, watu kibao walitoka CCM kuingizwa jeshini na wakarudi CCM?JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijsingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama.
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshinletu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majigo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!
Hivi huyo mama ni raia "parsee"?JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijsingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama.
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshinletu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majigo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!
Sasa wewe kama una matatizo yako binafsi na vyama vya upinzani usiyatumie kushambulia watu. Sio kila mtu anashiriki hizi siasa za maji taka za upande wowote.Akili za bawacha mungu pekee ndio anajua wapi sasa kamtisha kweli nyumbu ni nyumbu tu
Eti waziri wa ulinzi.... Jamani hii nafasi ni nyeti Sana kwenye nchi ila naona hapa bongotozo wanaifanyia mzahaMh. Dr. Isidori Mpango hakupaswa kutoa maneno hayo kwa Waziri wa Ulinzi kwa uwazi namna hii ambapo maneno haya wameyapata hawa wanajeshi.
Hii sio sahihi kabisa inakuwa kama vile anamchonganisha Tax na Maafande! Pia itawafanya Maafande wasimheshimu hiyu Waziri wao na itamfanya Tax asijiamini atakapokuwa na hao Maafande.
Generally, Makamu wa Rais katereza kwa hilo andiko!!!
Makamu walikuaDr. Omar Ali Jumaila makamu siku hizi hasikiki sana
Hujlielewa bandiko langu kabisa.Kwa jinsi TZ ilivyo usiseme jeshi halijaingizwa siasa. Huoni akina Makamba, Mkuchika, Komba, Lowasa, na wengine akina kikwete, Maokola Majogo, Kinana, watu kibao walitoka CCM kuingizwa jeshini na wakarudi CCM?
Angalia wanajeshi kibao wakistaafu wanapewa vyeo vya CCM, usiseme jeshi halipo kisiasa sema jeshi lipo kisiasa za CCM lakini nao wangeruhusu ex military akistaafu ajiunge na upinzani wa CCM mbona mngekoma mapema sana CCM???
Maana ingekuwa kuna wafuasi wa vyama vingine pia kama walivyokomesha Ile uchaguzi wa 2015 walimnyoosha jiwe mpaka akawachukia kweli maana makambini kote CHADEMA ilikuwa inaongoza.
Hakuteleza kabisa ule ndio ukweliii!!!Mh. Dr. Isidori Mpango hakupaswa kutoa maneno hayo kwa Waziri wa Ulinzi kwa uwazi namna hii ambapo maneno haya wameyapata hawa wanajeshi.
Hii sio sahihi kabisa inakuwa kama vile anamchonganisha Tax na Maafande! Pia itawafanya Maafande wasimheshimu hiyu Waziri wao na itamfanya Tax asijiamini atakapokuwa na hao Maafande.
Generally, Makamu wa Rais katereza kwa hilo andiko!!!😆😆😆
Umenikumbusha mbali kwenye hili sakata la Maokola Majogo.JWTZ yetu ni Jeshi la kistaarabu sana.
Moja ya Taasisi ambazo hazijaingizwa siasa kama vyombo vingine vya usalama
Nina hadithi nyingi za kwasimulia juu ya umahiri wa Jeshi letu lakini kama hata wao wanaandika katika Daily Order, IMEZUILIWA.
Waziri raia katika MOD inabidi aelewe nafasi yake la sivyo anajikuta redundant.
Yalimpata waziri Maokola Majogo enzi za Mkapa.
Ikabidi aombe poo!