Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,596
Magufuli anaonekana kuwa na jazba sana katika hotuba zake kipindi hiki, ni wazi anahofu ya kitu fulani,
Nimeota kuwa uchaguzi wa kumpata mgombea ndani ya CCM bado haujaisha na hivyo huenda kura zisipigwe tarehe 25 kwani nimeota utasogezwa mbele.. Nimeota kuna kitu kitampata mgombea na hivyo kuna chama kitapewa fursa ya kuchagua mgombea mwingine na hivyo kupeleka mgombea wamtakae.
Ndoto nyingine ni mbaya sana na zinatisha mbaya.