aleesha
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 776
- 1,121
Nafahamu kwamba Zanzibar haiwezi kujitenga na nchi nyingine Duniani, wala haiwezi kukataa mabadiliko ya maendeleo Duniani, lakini lazima kuwe na mipaka kulingana na utamaduni wa Visiwa hivyo.
Zanzibar iliingia kwenye sekta ya utalii kwa masilahi ya kukuza uchumi wake na sio vinginevyo.
Ingawaje wapo ambao badala ya kutumikia ipasavyo kwenye nafasi walizopewa wanakwenda Mrama na kusababisha dhumuni na malengo kutokufikiwa.
Katika sekta hii ya utalii na uwezekaji kuna kila sababu ya kufanya uchambuzi yakinifu kwa wageni wanaotaka kuwekeza.
Kwa mfano kuna kampuni moja ambayo umenunua maeneo mengi na makubwa ukanda huu kusini Paje na Jambini.
Mahotel yao yana jina linaloanzia na herufi P jina ambalo ni la aina ya kiungo tunachotumia kwenye chakula kama kuongeza ladha na kinawasha.
Sitaki kusema jina kamili maana watu hawa huwa na wanasheria wao tena wazawa wenyeji, hawa huwakingia Vifua na ukajikuta huna mtetezi.
Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar. Hawa ni waumini wa mapenzi ya jinsia moja na hata wageni wao ni wale matajiri wakubwa Duniani wanaokuja kustarehe na wapenzi wao.
Kama ni Mwanamke atakuja na mpenzi wake wa kike, kama ni Mwanaume atakuja na mpenzi wake wa kiume.
Vitendo vyao vinatisha haswa pale ninapoangalia mila na desturi zetu.
Ni kweli kwamba tunao hapa nchini wanaume WAPUMBAVU. . Nimetumia neno WAPUMBAVU kwasababu ndio linalotumika kama Tafsida visiwani. Kumaanisha Wanaume wanao jihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Hawa wageni WAPUMBAVU Sasa hivi wamevuka mipaka maana Sasa Wana Pati au sherehe ambayo hufanyika kwenye Hotel zao zote.
Sherehe hizo ni za wapenzi wapya! Lakini hata wale ambao wana sherehekea kudumu kwa Muda mrefu kwenye mahusiano yao.
Unajua mwanzo nilidhania labda sherehe hizo zinajumuisha wao kwa wao tu, yaani wageni.
Jambo la kusikitisha ni kwamba hata vijana wetu wadogo kabisa nao wanajumuika. 😢
Tulichunguze jambo hili 👇
Ajira kwenye kampuni hiyo imetoa kipaumbele kwa vijana wetu WAPUMBAVU. Kampuni hiyo ndio kimbilio lao maana wanasema hawapati ajira sehemu nyingine kirahisi.
Sio kwamba kila kijana wetu afanyaye kazi hapo anakuwa wa mrengo huo HAPANA.
Wapo wenye heshima zao na hata wanaokerwa na uhamasishaji wa Vitendo vya kishetani.
Nataka kusema kwamba kasi ya ununuaji wa maeneo ya kampuni hii, inatisha. Alafu wao sio kununua tu hata kukodi.
tatizo kubwa tulilonalo sisi Waafrika ni kutokuwa na umoja, ni vigumu Sana ku chukuliwa hatua hizo haswa pale tatizo linaporipotiwa na mtu anbaye huna fedha wala kujulikana popote.
Kwanza wanasheria wao ni wazawa utapata shida Sana.
Nakumbuka tukio la Mwanamke wa Kizanzibar kuvuliwa nguo yake ya ndani. . Na Mkuu wa kitengo ambaye ni mgeni.
Mwanamke huyu alikuwa ni msafisha vyumba Hotel ya The Residence. Kisa cha kuvuliwa nguo yake ya ndani eti kuna mgeni aliche check out siku mbili nyuma na alipofika kwao akawa haioni nguo yake ya ndani.
Jambo la aibu Sana, nguo ya ndani ya Mwanamke huyo alipovuliwa ikapelekwa Reception ikapigwa picha ikatumwa kwenye mtandao ili mgeni aione kwamba je hiyo ndio nguo yake?
Mgeni akajibu kwamba sio yake.
TAMWA Zanzibar ilipopata taarifa tukaja kuchukuliwa kwenda kupigania haki ya Mwanamke mwenzetu.
Yule Bosi alipoona vile akakimbia, uongozi ukamtumia Mwanasheria wao mzawa anbaye alikuwa kwenye chombo cha kutunga sheria.
Ujinga mkubwa alioufanya Mwanamke mwenzetu huyo pamoja na TAMWA kusimama kidete akarubuniwa na uongozi pamoja na Mwanasheria mzawa akapewa Milioni Tatu akamaliza kesi tena akakimbia Zanzibar akaenda Tanga kesi ikaisha.
Nitaendelea baadae Ahsante
Zanzibar iliingia kwenye sekta ya utalii kwa masilahi ya kukuza uchumi wake na sio vinginevyo.
Ingawaje wapo ambao badala ya kutumikia ipasavyo kwenye nafasi walizopewa wanakwenda Mrama na kusababisha dhumuni na malengo kutokufikiwa.
Katika sekta hii ya utalii na uwezekaji kuna kila sababu ya kufanya uchambuzi yakinifu kwa wageni wanaotaka kuwekeza.
Kwa mfano kuna kampuni moja ambayo umenunua maeneo mengi na makubwa ukanda huu kusini Paje na Jambini.
Mahotel yao yana jina linaloanzia na herufi P jina ambalo ni la aina ya kiungo tunachotumia kwenye chakula kama kuongeza ladha na kinawasha.
Sitaki kusema jina kamili maana watu hawa huwa na wanasheria wao tena wazawa wenyeji, hawa huwakingia Vifua na ukajikuta huna mtetezi.
Hii kampuni haifai hata kidogo kuwekeza kwenye ardhi ya Zanzibar. Hawa ni waumini wa mapenzi ya jinsia moja na hata wageni wao ni wale matajiri wakubwa Duniani wanaokuja kustarehe na wapenzi wao.
Kama ni Mwanamke atakuja na mpenzi wake wa kike, kama ni Mwanaume atakuja na mpenzi wake wa kiume.
Vitendo vyao vinatisha haswa pale ninapoangalia mila na desturi zetu.
Ni kweli kwamba tunao hapa nchini wanaume WAPUMBAVU. . Nimetumia neno WAPUMBAVU kwasababu ndio linalotumika kama Tafsida visiwani. Kumaanisha Wanaume wanao jihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Hawa wageni WAPUMBAVU Sasa hivi wamevuka mipaka maana Sasa Wana Pati au sherehe ambayo hufanyika kwenye Hotel zao zote.
Sherehe hizo ni za wapenzi wapya! Lakini hata wale ambao wana sherehekea kudumu kwa Muda mrefu kwenye mahusiano yao.
Unajua mwanzo nilidhania labda sherehe hizo zinajumuisha wao kwa wao tu, yaani wageni.
Jambo la kusikitisha ni kwamba hata vijana wetu wadogo kabisa nao wanajumuika. 😢
Tulichunguze jambo hili 👇
Ajira kwenye kampuni hiyo imetoa kipaumbele kwa vijana wetu WAPUMBAVU. Kampuni hiyo ndio kimbilio lao maana wanasema hawapati ajira sehemu nyingine kirahisi.
Sio kwamba kila kijana wetu afanyaye kazi hapo anakuwa wa mrengo huo HAPANA.
Wapo wenye heshima zao na hata wanaokerwa na uhamasishaji wa Vitendo vya kishetani.
Nataka kusema kwamba kasi ya ununuaji wa maeneo ya kampuni hii, inatisha. Alafu wao sio kununua tu hata kukodi.
tatizo kubwa tulilonalo sisi Waafrika ni kutokuwa na umoja, ni vigumu Sana ku chukuliwa hatua hizo haswa pale tatizo linaporipotiwa na mtu anbaye huna fedha wala kujulikana popote.
Kwanza wanasheria wao ni wazawa utapata shida Sana.
Nakumbuka tukio la Mwanamke wa Kizanzibar kuvuliwa nguo yake ya ndani. . Na Mkuu wa kitengo ambaye ni mgeni.
Mwanamke huyu alikuwa ni msafisha vyumba Hotel ya The Residence. Kisa cha kuvuliwa nguo yake ya ndani eti kuna mgeni aliche check out siku mbili nyuma na alipofika kwao akawa haioni nguo yake ya ndani.
Jambo la aibu Sana, nguo ya ndani ya Mwanamke huyo alipovuliwa ikapelekwa Reception ikapigwa picha ikatumwa kwenye mtandao ili mgeni aione kwamba je hiyo ndio nguo yake?
Mgeni akajibu kwamba sio yake.
TAMWA Zanzibar ilipopata taarifa tukaja kuchukuliwa kwenda kupigania haki ya Mwanamke mwenzetu.
Yule Bosi alipoona vile akakimbia, uongozi ukamtumia Mwanasheria wao mzawa anbaye alikuwa kwenye chombo cha kutunga sheria.
Ujinga mkubwa alioufanya Mwanamke mwenzetu huyo pamoja na TAMWA kusimama kidete akarubuniwa na uongozi pamoja na Mwanasheria mzawa akapewa Milioni Tatu akamaliza kesi tena akakimbia Zanzibar akaenda Tanga kesi ikaisha.
Nitaendelea baadae Ahsante